Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

............Bariiiiiidi!
IMG_20220624_164410_981.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ile asali inasababisha mnara unasoma 6G+ bado ipo?
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro

Asali inaitwa UPULA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro

Asali inaitwa UPULA

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂
Naifahamu ile nilikuwa na gallon imejaa tena we ndiye ulinambia, inakuwa na uchachu.
Yani ngoma ikipaa hewani kurudi chini mtihani, sasa na hio mixer si itakuwa 🔥🔥🔥
 
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro

Asali inaitwa UPULA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nitakutafuta.
 

Naifahamu ile nilikuwa na gallon imejaa tena we ndiye ulinambia, inakuwa na uchachu.
Yani ngoma ikipaa hewani kurudi chini mtihani, sasa na hio mixer si itakuwa
Ni motoooooo fire Kuna bibi mmoja mstaafu mwenzangu ni mjane mbona kaikubali chuma ikikaa kwa anga weeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom