Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
@mzabzabMtoto una sura cute![]()
Huyu binti ni shida
Ni mzuri na ni mrembo
Tutafute hela
@mzabzabMtoto una sura cute![]()
Ndiyo waliila saa 1Si
Ulisema
Utawapitishia
Kitimoto ya Kimaro![]()
Uwe na siku njema rafikiSalama
Nipo shwari
Sasa wee kugegedana toka lini kukawa hasi? Inelekea jana mlipaga mkumbato hatari maana hata restaurant hukuja🤣🤣🤣🤣Khaaaaaa
Una mawazo hasi tu muda wote😁😁😁
Aisee,,,,@mzabzab
Huyu binti ni shida
Ni mzuri na ni mrembo
Tutafute hela
Tatizo ya hawa warembo wa selfika wote wazuri, huyu ana kiuno kizuri mwengine tako skonsi mwengine sura nzuri basi yaani unashindwa uchague yupi. Kuwagegeda wote watakufilisi maana kama hivyo sii unaona watoto wanalala hotel kubwa kubwa tuu kama morena. Nasikia hapo chumba cha bei ya chi 150k@mzabzab
Huyu binti ni shida
Ni mzuri na ni mrembo
Tutafute hela
Naona jana watu walitingwa au walilala mapema, nilipita muda fulani kimyaaaaaaaWee nilikuepo mama mchungaji mpaka mida ya saa nne palikua kimya sana humu!! Jana Wengi mlitingwa mapema sana mida ya saa nne Rumaiya alipita nakeddd kabisa
Kwani hawawezi kufika nyumbani?..Tatizo ya hawa warembo wa selfika wote wazuri, huyu ana kiuno kizuri mwengine tako skonsi mwengine sura nzuri basi yaani unashindwa uchague yupi. Kuwagegeda wote watakufilisi maana kama hivyo sii unaona watoto wanalala hotel kubwa kubwa tuu kama morena. Nasikia hapo chumba cha bei ya chi 150k
Yeahhh nilikua online sema nilikua nazogoa huko WhatsApp Huku nilichungulia mara moja moja!Naona jana watu walitingwa au walilala mapema, nilipita muda fulani kimyaaaaaaa
Jirani hujatualika huko..Yeahhh nilikua online sema nilikua nazogoa huko WhatsApp 😉🤣!
Ndio umegoma kabisa kurudia jirani??Jirani hujatualika huko..
Kwani ilikuwa inakutesa? 🤣Nimefurahi
Umetoa ile hirizi
Hii avatar ndio nzuri
Ujue picha yako
Inasababisha mitetemo fulani huku
Mwilini hasa pale Ukuni
Jioni jirani...Hahahaaa.. ilikua udaku tu jirani!!
Ndio umegoma kabisa kurudia jirani??
Basi sauwaa jirani!! ✌️Jioni jirani...
Hujambo jirani...Kulikoni jiraniKwani ilikuwa inakutesa? 🤣
Hirizi haijawahi kuwa legal… so you mean!!! Aiseee, pls have some respect!
Nitairudisha oohoo
Na kama kuteseka kuendelee pale palipoishia 😅😅
😁😁 we me mpole sana, ni vile tu hamujui 🤗Sura yake mtaratibuuuuu
Ila pia ni kakorofi (natania)😂😂😂
Nothing wrong jirani 😁Hujambo jirani...Kulikoni jirani
Kumekucha salama mamyKhaaaaaa
Una mawazo hasi tu muda wote![]()
??Kwetu poa kabisa jirani .Nothing wrong jirani 😁
All is well here!
Natumae, uko poa