Ramsy Dalai Lama
Senior Member
- Apr 5, 2021
- 168
- 567
Ok tomorrow usijali 😁Hebu tupia Coloured tuone.
Ok tomorrow usijali 😁Hebu tupia Coloured tuone.
Tumoro Tena?🙄Ok tomorrow usijali 😁
Unataka nipigwe risasi 7?😁Hapa duniani pisi kala kama wewe bila kutuniaha misulunhuwezi pata hug 🤣🤣🤣 tukutane hapo restaurant in ten minutes. Nitakuwa nimevaa jeans ya blue na sweta ya navy blue
Ah kumbe mnagegeduana na shemeji hapoUnataka nipigwe risasi 7?😁
Wa nini?😂😂😂😂Kumbe una wivu![]()
Mkuu.......Ah kumbe mnagegeduana na shemeji hapo
Vipi tena mzeyaMkuu.......
Yah! sasa si kwa siku tuna post moja moja jaman 😉Tumoro Tena?🙄
Nimesikia risasi...Vipi tena mzeya
HapanaYah! sasa si kwa siku tuna post moja moja jaman 😉
Mie nitakuja na meza na viti viwili 🤣🤣🤣 ndio uone mwalimu nilivyo na upendo.. mapacha itakuwa sifa kwetu kwa mtanange heavyTobaa ghetto kwangu nna godoro tu sasa tutasomea kitandani si ndiyo kutafuta mapacha huko😂😂
Mkuu unataka kujipigia pasi mwenyewe 😀😀😀😀Mie nitakuja na meza na viti viwili 🤣🤣🤣 ndio uone mwalimu nilivyo na upendo.. mapacha itakuwa sifa kwetu kwa mtanange heavy
Vipi tena...mrembo kashakula risasi😲😲😲😲mbona mie bado sijafikaNimesikia risasi...
Lile li hotel pale MwanzaMie nitakuja na meza na viti viwilindio uone mwalimu nilivyo na upendo.. mapacha itakuwa sifa kwetu kwa mtanange heavy

Kwanza tupia yako ujue sijawahi ona picha yako mkuu ujue 😌Hapana
Ni ruhusa hata kujaza server zote za Melo.
Nifanyie wepesi Chief.
Nimesikia vitisho...ila kahakikisheVipi tena...mrembo kashakula risasi😲😲😲😲mbona mie bado sijafika
😄😄😄😄 Huyu mwanafunzia nae itwa financial services ana juhudi sana , inabidi na mie nitie nguvu hapo.. si unajua wakiwezeshwa wana wezaMkuu unataka kujipigia pasi mwenyewe 😀😀😀😀
🤣🤣🤣🤣😄😄😄😄 Huyu mwanafunzia nae itwa financial services ana juhudi sana , inabidi na mie nitie nguvu hapo
😄😄😄😄 na majina ya pacha nimeisha mpaLile li hotel pale Mwanza
Pembezoni mwa ziwa
Ndio mapacha wakapatikane huko
Ila utafaudu![]()
Vipi tena...mrembo kashakula risasimbona mie bado sijafika
