uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…
Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.
Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu