Selfika na JF: Snap it. Show it

Kinachoniokoa kingine, macho yangu yana ile sehemu wanayopakiaga ma eye shadow
Kuna picha yako moja niliiona umekaa kwenye gari miaka miwili/mitatu iliyo pita ukitumia lile jina lingine,nikajisemea tu moyoni..."hiki kitoto kitakuja kuwa kizuri kisipojiharibu rangi...!!"
Ile picha ilikuwa naiangalia mara kwa mara hadi upepo wa ukaguzi ulipo pita bila taarifa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…