Hizi zina aina, mfano hiyo club ina VIP room, lakini kwasababu theme ya club yenyewe ni ushenzi, watu wanapiga miti hata kwenye makochi.. na kuna hizo za kama wanazotangaza ni ufuska kama sodoma na gomora hizo temeke wanazifanya sana.. na hazina usalama kuanzia afya na mengineyom. kidogo hawo wa club kwanza mademu wanaingia classic kweli kweli