Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo labda ile mida ya hatari Bosi Ledi. Nilikuwa naumwa ila leo naona nimepata ahueni sana. Kuna haja ya kusherehekea uponaji kwa kujilipua laivu leo
Msukuma nitakuninia nihame selfika mazima ujue acha masikhara msukuma please sema hutanii basi!!!
 
We kimodo bana jiondoe haraka kwenye ukibonge. Nyie wanawake wa kisasa wasomi mnaokula kwa nidhamu ili msiharibike miili. Huwa nawaambia kuwa tuonane baada ya watoto wawili hivi...
Hapo nimewasemea vibonge, mie kimodo kweli. Alafu ungejua nakula hovyo mimi ila mwili ndio umegoma kabisa na ninavyotamani kuongezeka daah sinaga tu namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…