B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Wavute subira afya iimarike niingie mzigoni kupambana maana kamtaji kangu kameyumba kidogo kipindi hiki ninachojitibia
Upone haraka chief...Wavute subira afya iimarike niingie mzigoni kupambana maana kamtaji kangu kameyumba kidogo kipindi hiki ninachojitibia
Yes baby
Mtumie ubinadamu..[emoji23][emoji23][emoji23]Ikitumwa tu humu no way sometimes mkizubaa mi mwenyewe napita nayo hahaha!!
Tangu ujiite Antonnia selfika zako zimekuwa adimu kichizi Bosi Ledi. Nini kinaendelea?Hahahahaaaa!!!! Sawa mkuu
Labda kawepo ka utaratibu mtumiwe kwa zamu pmπ€£π€£π€£Nashauri tuachiwe graduates..wa kiume na wakike.
Wenye kazi tafadhali tuachieni graduates hizi vocha..maisha ni magumu.
Watu hawana muda wa kukupa hata pole,wanadai tu vocha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wavute subira afya iimarike niingie mzigoni kupambana maana kamtaji kangu kameyumba kidogo kipindi hiki ninachojitibia
KwemaaaββKurusha humu nisiwe muongo labda direct kwa muhitaji.
Hatua ya kurusha subiria siku ya Idd??πππ
Ahsante sana chiefπPole sana mkuu
Lazima ukae nakoBasi katakaa kwako nitakua nakuja kukacheki huko huko hahaa
π€£π€£π€£ππππKwemaaaββ
Amin ππ
Ndio wawe na roho nzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda kawepo ka utaratibu mtumiwe kwa zamu pm[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu jukwaani kuna watu wanapita kimya kimya tena wazee watazinyaka huenda mwana selfika hakuna atakayepata
Jmn kumbe afya imezinguaWavute subira afya iimarike niingie mzigoni kupambana maana kamtaji kangu kameyumba kidogo kipindi hiki ninachojitibia
AminaAmin ππ
Nitahakikisha wito huu nautimiza ipasavyo pale nitakapopata nafasi ya kufanya hivyo