Kwanza hatuja mtenga mtu.
Hapa tunazungumzia kwa sisi hasa ambao tuna uhakika wa kujitafutia mahitaji muhimu kuwapisha dada zetu but hii sio sheria ni suala la mtu binafsi kujitambua na kuwapa wengine kipaumbele.
Lakini humu kuna wavulana au mtu mwenye changamoto za kiuchumi ni haki yake kupata hii huduma.