Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwa unatoa ushirikiano lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na yote Kiukweli kukojozwa raha sana... kiasi Kwamba hata mkizinguana mwanamke sometimes akiwaza tu ile churururururururururuuuuuuuuuu linamuishia pozi na misimamo inalegea.. sometimes
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒ
 
Unawajua watoto ambavyo anaweza akagoma kula pilau nyumbani, afu akaenda kwa jirani kugombea ugali dagaa na wenzie? Honestly napenda hekaheka za kugombea vocha humu; hadi inaingia "umefanikiwa kuongeza" raha mnoooo. Ahsante sana baba Pasta
Ni mimi tu ndio nimeelewa vinginevyo...hizi akili zangu bwana, zisianze kuongelea hizi mambo...total nutshellπŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu, ngoja kwanza...hahaha!!
πŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈβœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹βœ‹
 
Hata Sijui mkuu mie naelezea upande wetu nawe elelezea upande wenu ndio itakua vizuri!
Mie zoba tu sinavhata nilijualo na ushirokiano sitouii sasa ukute mwanaume nae zobalest inakua tafrani tupu
Huwezi kuongea vizuri vile, nikakupa A+ kwenye theory, halafu ukapata S kwenye practical, naamini hata practical lazima unapiga misonge tu!
 
Pamoja na yote Kiukweli kukojozwa raha sana... kiasi Kwamba hata mkizinguana mwanamke sometimes akiwaza tu ile churururururururururuuuuuuuuuu linamuishia pozi na misimamo inalegea.. sometimes
Siku nyingine ukikutana na empty set mwongoze tu vizuri...mwonyeshe korogesheni zote na vilima vya mwili wako. Mbona utafika tu? Labda uwe na ishu zingine kama videni deni huko mtaani, misukosuko ya kifamilia, msongo wa mawazo au jamaa tu humfeel yaani...
 
Brod darling tunaongelea vocha hapa. Em toka kanyooshe miguu kidogo, mada za humu zishakuchanganya na hadi ufike kule kwako kwenye mapapai...
Kuna namna umeelezea vocha hadi nikashindwa kuelewa kabisa...🀣
..karibu shamba tubakula mapapai, ngogwe, bamia kama bamia..nk.
 
Pamoja na yote Kiukweli kukojozwa raha sana... kiasi Kwamba hata mkizinguana mwanamke sometimes akiwaza tu ile churururururururururuuuuuuuuuu linamuishia pozi na misimamo inalegea.. sometimes
Huwa nyie mnapenda kufanyiwa vizuri. Huu mchezo ni two way. Sasa unakuta binti amekutengea tu unahangaika wee mwisho wa siku anasema hujafika mlimani wakati wewe mwenyewe hutoi ushirikiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…