Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ir tunaganda, wengine vipi kwenu??View attachment 2254624
Huku tupo hivi
Hatujazoea hichi kiubaridi
June is bae
]
Screenshot_20220608-202114.jpg
 
Watu wanachanganya hawaelewia ,kuna rangi zinaendana hazina shida zikiwa 2,3....
Pia watu tunatofautiana colour code...
Mfano mi hapa nimevaa puul neck nyeusi,biatu vyeusi!,hiyo suruali ni nyekundu na hereni ni nyekundu except kikoti tu ni baby yellow,cm tu imeweka filter imefanya rangi zimeng'aa but ni rangi zilizopoa!
Umeonogaa
 
Watu wanachanganya hawaelewia ,kuna rangi zinaendana hazina shida zikiwa 2,3....
Pia watu tunatofautiana colour code...
Mfano mi hapa nimevaa puul neck nyeusi,biatu vyeusi!,hiyo suruali ni nyekundu na hereni ni nyekundu except kikoti tu ni baby yellow,cm tu imeweka filter imefanya rangi zimeng'aa but ni rangi zilizopoa!
Rangi zinakupenda dear
Looking gorgeous
 
Hali ya hewa nzuri kweli ... What a relief
Ah huko balaa
Sio kwa baridi hilo
Mtu ambaye hajawajahi kukaa mikoa ya baridi akija huko duh shida .
Kuishi Kwangju dar kote na joto LA miaka hiyo sijawahi oga maji ya baridi🙈
Sahivi naambiwa kuna baridi kiasi na upepo,nakuja na sweta kabisa
Dar ya sahiv sio km ya miaka iliyopita joto LA kwaida sana
 
Watu wanachanganya hawaelewia ,kuna rangi zinaendana hazina shida zikiwa 2,3....
Pia watu tunatofautiana colour code...
Mfano mi hapa nimevaa puul neck nyeusi,biatu vyeusi!,hiyo suruali ni nyekundu na hereni ni nyekundu except kikoti tu ni baby yellow,cm tu imeweka filter imefanya rangi zimeng'aa but ni rangi zilizopoa!
Mimi nakuelewa vizuri, maana colors hazinisumbui; nagonga tu yulee. Watu wengi wasiopenda crazy color hata ikiwa moja tu hawakuelewi; afu ukizichanganya ndiyo hawakuelewi kabisa. We good to go wizo ake
 
Back
Top Bottom