Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,567
- 235,404
Soon unamkaribia.Nikikuwa mkubwa nitakuwa kama wewe[emoji28] hongera mkuu!
kwa hasira za leo ni mwendo wa body to body hadi asubuhii π ππ simuachii hata kupumua
Ilikuwa special kivipi?Kweli unanipenda aiseee [emoji847]
Nimeona tag yako kweli nilipoingia.
Maisha yanakaba hadi tunashindwa kuweka bando [emoji2].
Nilikuwa mapumziko kidogo,ilikuwa special week kwangu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Apewe zawadi.Happy belated birthday kaka mkubwa Mshana Jr
Mungu azidi kukuweka Kwa utukufu wake.
Happy belated birthday dada mkubwa Chakorii
Bwana na akutunze.
Team June [emoji3590]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
π¬π¬π¬kaa pembeni wajitokeze wengineKama mie hivi π₯°
kwa hasira za leo ni mwendo wa body to body hadi asubuhii π ππ simuachii hata kupumua
Aah no, ile hainihusu hata kidogo. Ni mtu alitaka challenge tu ya kile anafikiria kufanga - na +, habari za mama achana nazo kabisa...japo kuna wengine kweli kawafunguliaπ πSoon unamkaribia.
Nimeona umeshatupia ramani kule[emoji4]nikasema eeeh mambo si ndo haya,mama amefungua nchi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
π£π§¨βοΈπ πͺπ«βπͺ vitakuhusuπ¬π¬π¬kaa pembeni wajitokeze wengine
Imeisha hiyooo π π π
Njoo pa siku ile nikutoe mlo wa usiku π¬π¬
Kifupi jimbo liko wazi wakuuπ©π©π£π£π£π£π§¨βοΈπ πͺπ«βπͺ vitakuhusu
Niliweza tu,Ilikuwa special kivipi?
Uliwezaje kuweka simu pembeni hasa jf ili ufurahie week yako special?
Nilipita nikakukumbuka.Njoo pa siku ile nikutoe mlo wa usiku [emoji51][emoji51]
π¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬Kifupi jimbo liko wazi wakuuπ©π©π£π£π£
Si ndio uje badae tutoke out πππ
Si useme tu kuwa unaupiga mwingi mjomba!Aah no, ile hainihusu hata kidogo. Ni mtu alitaka challenge tu ya kile anafikiria kufanga - na +, habari za mama achana nazo kabisa...japo kuna wengine kweli kawafungulia[emoji28][emoji28]
Nikataka nishuke nikuchungulie ila kulikuwa na baridi almanusura nizime.Si ndio uje badae tutoke out [emoji3][emoji3][emoji3]
Nikikuwa mkubwa nataka niwe kama wewe,Shenkyuuuuu dadaake