Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora nasie tumepata mtetezi... sometimes nasie mtusifie sifie sasa tunaona wivu kusifiwa waliobarikiwa tu wajameni!
Mtoto flani hata ukimkumbatia anatosha kifuani, kwenye ligi unamgeuza kama samaki inayokaangwa, mkienda beach ile michezo ya kihindi ya kubebana unambeba juu juu, halafu nyie ni watamu balaa, halafu hamchokagi kwenye mechi. _King kwako endelea...
 
Ndio hatuna kitu, sawa shemeji nimekuelewa.. ila dah hadi nakufa sijala vitu vyenye maajabu yake 😭😭😭
Mnakosa vinono sasa!!! Hebu jiwekeeni hazina bana hata rafiki yako unampesa tu Hio hazina huwezi lala njaa hapo!! Ivoivo ki rafiki friend siku siju ukibanwa unateleza tu!!🚶🏽‍♀️
 
Mtoto flani hata ukimkumbatia anatosha kifuani, kwenye ligi unamgeuza kama samaki inayokaangwa, mkienda beach ile michezo ya kihindi ya kubebana unambeba juu juu, halafu nyie ni watamu balaa, halafu hamchokagi kwenye mechi. _King kwako endelea...
😅😅😅 Nuzulati anafatilia hatua zangu nitalala njaaa mkuu
 
Back
Top Bottom