Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Hatari sana , mie ingine huwa naipenda hii huwa napenda wanavyopishana na Usher 🔥🔥🔥Hii na No one ni my fav
Hatari sana , mie ingine huwa naipenda hii huwa napenda wanavyopishana na Usher 🔥🔥🔥Hii na No one ni my fav
Utaambiwa utume vocha ya buku kumi unaishia kuna mbupu tuuBig boy wamepangana PM na offer za kufa watu 😅😅😅 mie na mzabzab ndio hata kusogeza mguu hatuwezi
Ila kuna wanaume wenzetu wana pumzika pazuri ... ujue tunaweza hadi tukafa hatujapiga vitu kama hivyo 🥲🥲🥲🥲 maana na huu umri wenyewe wa kuchungulia kabuliUtaambiwa utume vocha ya buku kumi unaishia kuna mbupu tuu
Acha mm niwe mchamungu tu ntawapata wale wa peponiIla kuna wanaume wenzetu wana pumzika pazuri ... ujue tunaweza hadi tukafa hatujapiga vitu kama hivyo 🥲🥲🥲🥲 maana na huu umri wenyewe wa kuchungulia kabuli
Wow baadae nikichill hiv itabidi nimsikilize na mkubali sana UsherHatari sana , mie ingine huwa naipenda hii huwa napenda wanavyopishana na Usher 🔥🔥🔥View attachment 2251968
Hapana kwakweli hakuna mdada ambae nimewahi mtumia PM humu na nilio bahatika hadi leo sijawai wajibiwaa.. sijui nakosea wapi 🥲🥲🥲Weeh Ukute nyie ndio wakwanza kwani mnapitwaga nakitu wanaume!!!! Hapo akija christine pia mmooo hahaha!!!
Na ndio solution hawa wa duniani tumeisha fail 😀😀😀Acha mm niwe mchamungu tu ntawapata wale wa peponi
Aisee acha tuu sasa hawa warembo sijui tunawapatajeIla kuna wanaume wenzetu wana pumzika pazuri ... ujue tunaweza hadi tukafa hatujapiga vitu kama hivyo 🥲🥲🥲🥲 maana na huu umri wenyewe wa kuchungulia kabuli
Tumefail pakubwa hatuwezi kutoboaNa ndio solution hawa wa duniani tumeisha fail 😀😀😀
Sijakucheka jameni doc 😀😀Me nmempenda kanicheka aigooo
🔥🔥🔥 Sikiliza na hili jiwe mziki ushibeee ....Wow baadae nikichill hiv itabidi nimsikilize na mkubali sana Usher
Half yangu unanikamilisha mm nakwambia unakufa mbavu☹Sijakucheka jameni doc 😀😀
ila ushunguuuu sanaaaa hawa wote mashemeji zetuuu ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Tumefail pakubwa hatuwezi kutoboa
Pm inachuja msg sjuiHapana kwakweli hakuna mdada ambae nimewahi mtumia PM humu na nilio bahatika hadi leo sijawai wajibiwaa.. sijui nakosea wapi 🥲🥲🥲
Mwanaume anaetambua majukumu yake hasubiri kuombwa kaka!! Unashangaa tu uko kazini mara paaapUtaambiwa utume vocha ya buku kumi unaishia kuna mbupu tuu
Hiyo ni Plate number yenye jina lake mwenyewe mkuu 😅😅Alaf plate number D wewe
dharau sana hata PM inajua kapuku yupi na tajiri yupi 😅😅Pm inachuja msg sjui
Tumeisha ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ ushunguu hadi rohoni sawa shemegi SurbiMwanaume anaetambua majukumu yake hasubiri kuombwa kaka!! Unashangaa tu uko kazini mara paaap
GH2UIY45QN5VB Imethibitishwa.....
Hujakaa sawa saprize ya lunch aaaaahhh wanaume wahivi watamu nyiee
Melo anatujua sana 🤣🤣🤣🤣🤣dharau sana hata PM inajua kapuku yupi na tajiri yupi 😅😅
See, I told her🔥🔥🔥 Sikiliza na hili jiwe mziki ushibeee ....
Utasikia tu ... See, I told her The devil is a lie
View attachment 2251972