Selfika na JF: Snap it. Show it

Jioni twende wapi tukaangalizie mpira 😁😁 nikuchulie jezi za Madrid au Liverpool
Mletee kwanza mgonjwa πŸ• akishiba sasa atakua kapona mnaenda kuangalia mpira.

Twende eneo lolote la tukio litakalobamba😊

Nichukulie jezi zote, timu itakayokua inashinda ndio nitavaa jezi yakeπŸ˜‚
Hadi mpira ukiisha navaa sasa ile yenye timu ya ushindiπŸ˜‚
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wazo zuri sana, tuchukue za arsenal na everton za kuzigia kipindi tunasubiri team moja ishinde..

nichukue kofia za color ipo hapa na au basi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

πŸ• nimekuchukulia hata usinge nikumbushaa

Big boy yupo πŸ˜‰πŸ˜‰
 
Hahahaaaa.....umeniwahii !!😘😘😘β™₯️β™₯️ Sijakuona kitambo dia nikuone basi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...baadae dear...
Nina majukumu kidogo..nikipata kanafasi utaniona tu kipenzi😘😘😘
Much ❀️❀️
 
Eeh fanya hivyo ili wasitujue sisi timu ganiπŸ˜‚πŸ˜‚
Chagua kofia nyeusii au

Ooh such a caring guy, aki FIB si anaenjoyyy😊😊
No wonder ananawiri kila kukicha

Big boy yupo leo hatoki, kajipumzisha saivi baada ya kupata heavy breakfastπŸ˜‹
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… chusi za design ipi hapa


alafu chini tuchukue nike au adidas 😁😁😍

Haha FIB yupo kalala , bora Big boy kapiga heavy brekfast muombe sasa ruhusa badae nakupitia πŸ˜…πŸ˜…
 
Poapoa nasubiria kwa hamu 😘😘
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...baadae dear...
Nina majukumu kidogo..nikipata kanafasi utaniona tu kipenzi😘😘😘
Much ❀️❀️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…