Naam,nae Dan Pol aliposhika simu mpapaso yake , akaingia jf, macho yake yalishtusha na na picha ya doll doll, akajiuliza je, huyu sie ? Naam , huyu ndie..basi ewe doll doll hebu fanya jambo
Tukisema hatuna dhambi twajidanganya wenyewe Wala kweli haimo ndani yetu..Bali tukiziungama na kuziacha Yeye Ni mwaminifu na wa Haki hata Atusamehe na kutusafisha.
Tukisema hatuna dhambi twajidanganya wenyewe Wala kweli haimo ndani yetu..Bali tukiziungama na kuziacha Yeye Ni mwaminifu na wa Haki hata Atusamehe na kutusafisha.
Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana,
naam, vinne nisivyovielewa:
19Ni mwendo wa tai katika anga,
mwendo wa nyoka juu ya mwamba,
mwendo wa meli katika maji makuu ya bahari,
nao mwendo wa mtu pamoja na msichana.
Naam,nae Dan Pol aliposhika simu mpapaso yake , akaingia jf, macho yake yalishtusha na na picha ya doll doll, akajiuliza je, huyu sie ? Naam , huyu ndie..basi ewe doll doll hebu fanya jambo