Selfika na JF: Snap it. Show it

Pole kapteni.

Muenzi mama kwa yale mema yake aliyoyafanya wakati wa uhai wake.
 
Luka 15 7, 10

7 Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu.

10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.

#AbbaFather 😍😍
 
Amen mtumishiπŸ™πŸ˜Š
 
This is very deep Captain.

Mama aendelee kupumzika salama huko aliko. Na anaendelea kuishi kupitia kwako. Na wewe pass it forward...ili chain ya wema wake na legacy yake aliyoianzisha kwako iendelee. Maisha
God is watching over her now.
Mkuu maisha yatakua si mazuri kwa wakati fulani, lakini yatapita, ugumu utarudi utapita tena, utarudi utapita tena, ni kwenda na kurudi over and over again, maisha hayatokaa sehemu moja tu ya furaha au sehemu moja ya kuumiza tu, nililia sana toka alipokuwa anaumwa mpaka mauti yanamfika, maneno yake bado naishi nayo mpaka leo, japo si kila mmoja ataona yana umuhimu lakini kwa mtu ambaye nilimpenda yana umuhimu, nitaendelea kupasisha mema aliyonambia kwa wengine.

Thanks a lot Shimba Ya Buyenze

πŸ™ πŸ™
 

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ nimefurahi sana hili neno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…