Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu mrembo ni wakuwowa mzeya yaani hizi ndio shape nazotaka mie alafu mwanamke avae skkrt ndio ananichanganya kabisa.....umeona hivyo vidole vya mguuni kaka😍😍😍😍
πŸ˜„πŸ˜„ mie nisiongee neno nitaamsha hisia tu alafu ndio ivyo ngazi za kupanda ghorofani hazipo.. vidole vya miguuni pete hatari, shape hatari, mtoto hana makuu roho ya nyeupe haina giza hata kiduchu, mtoto sauti yake kama malaika wa sifa midomo hiii acha tuu yale menoo ooops ( am gona die - in harmonize voice )
 
Hapa kalisema hakajawai kwenda akemi...nitampeleka mrembo just appreciation of her beauty
 
πŸ€” πŸ€”Sauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…