π π π Visimani kuna mambo hata Rebeka alidakwa Kisimani ... nimekumbaka mbali sana enzi za kuchota maji kisimani π π π nilikuwa nakaa kama moses waje watoto wakali nawapambanie wapate maji haraka
Unaweza hisi utani ila mda naona picha ni mda wa kutoa report ni mda natazama hivi nikashtuka nikabakio eeeh upande wa pili wanaongea mie nipp tu eeeh π π ππ
πππ Maana duh... Mungu acha aitwe Mungu.. kuna watu nikikutana nao wanuamini Mungu kwasababu ya mie tu kubadirika na bado sijabadirika sana naendelea kubadirika π π π
πππ Maana duh... Mungu acha aitwe Mungu.. kuna watu nikikutana nao wanuamini Mungu kwasababu ya mie tu kubadirika na bado sijabadirika sana naendelea kubadirika π π π