Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,103
- 41,722
Linda lango lako la mawazo!Hizi kama pigo za kihome home flaniii hivi [emoji28][emoji28][emoji28] unaenda kisimani hivyo [emoji91][emoji91][emoji91] acha niache ku imagine nipite zangu kushoto [emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Ngoja niagize ya kufunga, iwe na kachumbali ya kutosha pikipiki kwa mbaaaaaliItabidi uagize upya katibu!!
PilipiliNgoja niagize ya kufunga, iwe na kachumbali ya kutosha pikipiki kwa mbaaaaali
Pilipili na limao la kutosha katibu usiwaze!!Ngoja niagize ya kufunga, iwe na kachumbali ya kutosha pikipiki kwa mbaaaaali
Na limao ilokolea kweri kweriπ€£π€£π!Pilipili
Nipo nae mtoto mzuri mawardat kaniegemea kifuani tukiangalia mandhari.Upo mwemyewe au π₯±π₯±
Ww [emoji847][emoji847][emoji39]
View attachment 2237177
Mjumbe karibu Ila usilete vurugu ya sarakasi
πππ Naogopa sana najua nguvu zangu huwa zipo kwenye mind ( imagination ) , chochote ambacho huwa niki imagine mala nyingi huwaLinda lango lako la mawazo!
[emoji3]shauri yako
Nimeclick hizo link kwa kasi ya 5G lakini wapi, nikajua mtandao shida nimetoka mpaka nje naona Ooops! nikasema tayari...π π π π Post M-alone kwema mkuu, huenda umekosa tukio kubwa kabisa Selfie na kama umelipata toa nenoo
Ewaaaah mwenyekiti wewe mwerevu sanaaaa!!Na limao ilokolea kweri kweriπ€£π€£π!
Acha kabisaa, Nilikuwa natoa report kazini nikabakia naongea vitu havieleweki havihusiani na kazi hadi nikakata simu π π π π π kwanza akili ikae mahala pakee Ebu jaribu kumuomba mahondaw shangazi anaweza fanya jambo kwa ajiri yakoNimeclick hizo link kwa kasi ya 5G lakini wapi, nikajua mtandao shida nimetoka mpaka nje naona Ooops! nikasema tayari...
Nini kimetokea mkuu?
Eendiwooo ndiwo katibu!ππEwaaaah mwenyekiti wewe mwerevu sanaaaa!!
π€π€π€π€π€π€π€π€πAcha kabisaa, Nilikuwa natoa report kazini nikabakia naongea vitu havieleweki havihusiani na kazi hadi nikakata simu π π π π π kwanza akili ikae mahala pakee Ebu jaribu kumuomba mahondaw shangazi anaweza fanya jambo kwa ajiri yako
Hapa mtoto mzuri ungepata DSLR hii picha ulikuwa unaiuza kabisa, umetisha sana, inabidi uje unipeleke tukapige picha.Leo nipigwe na baridi pande hizi[emoji50]View attachment 2237169
Nimeikosa hii ππππlol hata naikumbuka sasaππππ!! Kaa hapo katibu usitoke
π π π Visimani kuna mambo hata Rebeka alidakwa Kisimani ... nimekumbaka mbali sana enzi za kuchota maji kisimani π π π nilikuwa nakaa kama moses waje watoto wakali nawapambanie wapate maji harakaMbona kisimani mjombaππππ€π€π€!