Selfika na JF: Snap it. Show it

Mguu umeona ulivyo ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ sasa mie sema basi nikiona mguu una malaika kama hivyo daah ... nachanganyikiwa kabisaa naelekwa maana ya huyo tu malaika πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sema ndio hivyo tena
Mzee tupeleke maombi nasikia jimbo lipo wazi bwana...aiwezekani guu zuri hivyo halipapaswi
 
Mzee tupeleke maombi nasikia jimbo lipo wazi bwana...aiwezekani guu zuri hivyo halipapaswi
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… huyo mtoto wa mwakasege, alafu na sie si watoto wa Moses Kulola tena kama ulinitangulia kwa Mzee Moses Kulola .. nitakusindikiza upeleke CV kitu kikaa ndani huna wasi wasi mabahari waandamizi kula mtoto anahofu ya Mungu
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… huyo mtoto wa mwakasege, alafu na sie si watoto wa Moses Kulola tena kama ulinitangulia kwa Mzee Moses Kulola .. nitakusindikiza upeleke CV kitu kikaa ndani huna wasi wasi mabahari waandamizi kula mtoto anahofu ya Mungu
Ah wee hiyo kitu hainaga hofu ya mungu...mfalme daudi mwenyewe ilimshinda....so huyu ni binti mlokole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…