Duh.. A famous Congolese musician way back 90's.. His famous hits
Ngoma ya Kwetu
Azalakise ewawa etc
Alikuja kukamatwa na madawa kwenye gita lake wakati akitua Ufaransa kwa ajili ya show na kuhukumiwa jela miaka 20.. Alikuja kutoka miaka ya karibuni na nasikia akaanza kuimba gospel