mkuu soma kwanza post za wenzako, hutajiuliza swali hili.
1) Nashangaa na nitaendelea kuwashangaa wale wote wanaowapuuza wabunge waliotoa mchango mkubwa kwa mambo ya kitaifa. Nashangaa tunapotaka kuwa na wabunge wa design ya Rostam Aziz (anayetekeleza baadhi ya mambo jimboni kwake kwa uwezo/pesa zake lakini hana mchango katika masuala ya kitaifa).
2) dhana ya kuwashambulia, kuwaponda (kama ilivyo dhamira ya zyansiku ni hatari sana kwani itazalisha wabunge waoga kutetea masuala ya kitaifa. You can imagine bila akina Seleli kashfa za EPA, Richmond na Kiwira zisingefika popote. Hoja na Kelele za akina Dr. Slaa na wapinzani wenzake haziwezi kuzaa matunda bungeni bila kuungwa mkono na wana-CCM.
3) Ninawachukia wabunge waliotayari kuhongwa, kutumwa, kutumiwa nk ili kuhujumu Taifa eti wanataka ku-concentrate na masuala ya jimboni kwao, hawa hatuwahitaji. Taifa linapita katika kipindi kigumu cha ufisadi, tunawahitaji wabunge waliotayari kupambana na ufisadi.
Mzee Mwanakijiji,
Kama hujui majibu wacha mimi nikusaidie kujibu; kama una majibu ila unamtega Dr basi ulegee!
a. Hakuna chombo kinachotenda haki Tanzania, sio kamati ya Richmond, sio Lowassa, sio JK, sio katibu wangu wa kijiji. Kila anyekuwa na nafasdi huitumia kumlima aliye chini yake. Haki itafute huko huko majuu, huku kwetu hata haki ya kufa na kulazwa kwenye kitanda cha milele pia inaweza kunyang'anywa na ukaishia kusua sua Mortuary.
b. Hata kama sijaridhika nifanye nini? Niunde ya kwangu? Hiyo kamati imeundwa na rais, sasa unataka na mimi niwe rais? Mbona Dr. Slaa hajaridhika na amefanya nini zaidi ya kupiga kelele zisizo na majibu bungeni? Maoni yangu kwenye hili hayana maana yoyote, hayakuongezei wewe wala wasomaji wako tonge la ugali wa muhogo. Badala yake yanaongeza chuki tu na kusababisha watu wengi kuchukia na kufa kwa pressure. Mwenye maamuzi haya ni rais wa nchi na bahatii mbaya tulimchagua kwa uzuri wa sura yake na wala sio uzuri wa matendo yake. Hivyo kuridhika au kutokuridhika kwangu nitakuonyesha kwenye kisanduku cha kupiga kura ya rais.
c. Sasa kama serikali imeficha Meremeta, you damn waandishi wa habari! mpo kwa ajili ya nini? Nendeni mkafukue kule walikoficha kisha tuanikieni wote tuone. Sasa unataka mimi nisiridhike na baada ya hapo niende kufukua huo uchafu ulikofichwa? Mimi ni daktari bwana, siogopi kuufutwa uchafu ulikojificha. Huwa nakagua kinyesi, napitisha mkono kwenye ile kitu inayoliwa usiku ili niangalie kama ni nzima au la. Unafikiri nitashindwa kutumbukiza kono langu kwenye hii chafu chafu ya Meremeta?
d. Aafadhali amejiuzia yeye kuliko angewauzia wageni. Hivi mzee Mwanakijiji wewe vipi hujui deals za nchi hii? Kuna deals kuanzia kwa Matona mpaka kule Ikulu. Leo mimi nimefanya deals zangu tatu, narudi home kama shujaa kwa familia na watoto wangu. Wasio jua deals wamekimbilia Ulaya baada ya hapa kuwashinda. Kwa tulioko TZ, deals ni sehemu ya maisha yetu. Tunazidiana speed tu. Njoo Bongo na ukamatwe pale Morogoro kwasababu gari lako halina fire extinguisher; traffic anakuambia safari hii haipo tena labda utoe 50,000 nikutafutia hiyo kifaa. Utafanya nini?
e. Uza yote hayo kwa makaburu bana! Waswahili tumeroga hatujui kitu chochote. Uliona wapi wenye akili wanakimbia nchi yao ili wakabebe mabox na kuwaachia wageni wanafaidi nchi yao? Watanzania wote bana! ni vichaa, akili zetu kama za yule mbwa, anabweka kwa mbali huku mwizi anapakua asali tu. Tunawaona wezi kwanini tunapigia kelele USA na sio kuja hapa Manzese tushirikiane na akina Dr. Slaa. Kwanini tunaunga mkono vyama hewa ambavyo hata havijazaliwa badala ya kuunga mkono chama kama CHADEMA ambacho kiko miaka mingi hata kama ni cha ukoo? Ukitaka kushiriki unaenda kuoa mjuu wa Mtei, usijali hata ukiwa na mke tayari, sisi hapa mitala inaruhusiwa. Karibu viongozi wetu wote wana mitala, hata mheshimiwa rais ana kamtala kake anavinjari usiku usiku na kwenye facebook yake anaweka busy. Ukisikia mbongo anasema yuko busy, jua anatongoza au anshughulikia totoz! mpya. Walinzi wanaachiwa washughulikie ile mama ya zamani! Zuma style.
f. Hiyo sheria ya kuhujumu uchumi lini ilifanya kazi? Sasa unataka sheria iliyofeli sasa tuitumie kwa mafisadi ili ifeli zaidi? Kwanza mafisadi wote ni marafiki wa raisi sasa unataka mimi nifanye nini? Unataka nikosane na raisi wangu? Hapana bana! hawa mafisadi washughulikieni wenyewe huko mitaani kama mnavyochoma moto vibaka. Mkiwaleta kwetu wabunge tuwajadili, tutawaachia maana ni wenzetu au wametusaidia pesa za kampeni zetu. Chomeni moto huko huko kwenu kwa kutumia njia nyingi. Wengi wao wanapenda ngono, wapelekee totozi wenye ngoma, wengi wanapenda kitimoto, ongezeeni fat humo baada ya muda pressure ipande na kuwaua. Wengi wanapenda miti shamba, ongezeni na ile mionzi ya Warusi.
Hongera sana kwa kujitokeza kugombea! Kwa vile nafasi unayotaka kugombea ni ya Ubunge ambao utagusa taifa zima (kwa kupiga kura kwako, kutunga sheria n.k) ningependa kuelewa mambo kadhaa au msimamo wako juu ya mambo kadhaa.
a. Unalichukuliaje sakata la Richmond, Je aliyekuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa alitendewa haki na Kamati Teule au la au alionewa?
b. Unaridhika na utaratibu wa kuunda kamati kushughulikia ufisadi wa Benki Kuu katika akaunti ya EPA?
c. Je unaridhika na jinsi serikali imeamua kuficha kuhusu Meremeta na ukiwa Mbunge utafanya nini ili watu wajue ukweli kuhusu kampuni hii?
d. Unakichukuliaje kitendo cha Rais Mkapa kujiuzia mgodi wa Mchuchuma yeye na waziri wake wa Madini? Je avuliwe kinga ili achunguzwe na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake?
e. Je nini kifanyike kushughulikia matatizo ya utendaji kwenye:
- Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu
- Tanesco
- ATCL
- TRL
f. Je sheria ya Kuhujumu Uchumi na Mitandao ya Uhalifu itumike kuwashughulikia wanaoshtakiwa na vitendo vya ufisadi? kwanini?
Asante.
Mzee Mwanakijiji,
Kama hujui majibu wacha mimi nikusaidie kujibu; kama una majibu ila unamtega Dr basi ulegee!
a. Hakuna chombo kinachotenda haki Tanzania, sio kamati ya Richmond, sio Lowassa, sio JK, sio katibu wangu wa kijiji. Kila anyekuwa na nafasdi huitumia kumlima aliye chini yake. Haki itafute huko huko majuu, huku kwetu hata haki ya kufa na kulazwa kwenye kitanda cha milele pia inaweza kunyang'anywa na ukaishia kusua sua Mortuary.
b. Hata kama sijaridhika nifanye nini? Niunde ya kwangu? Hiyo kamati imeundwa na rais, sasa unataka na mimi niwe rais? Mbona Dr. Slaa hajaridhika na amefanya nini zaidi ya kupiga kelele zisizo na majibu bungeni? Maoni yangu kwenye hili hayana maana yoyote, hayakuongezei wewe wala wasomaji wako tonge la ugali wa muhogo. Badala yake yanaongeza chuki tu na kusababisha watu wengi kuchukia na kufa kwa pressure. Mwenye maamuzi haya ni rais wa nchi na bahatii mbaya tulimchagua kwa uzuri wa sura yake na wala sio uzuri wa matendo yake. Hivyo kuridhika au kutokuridhika kwangu nitakuonyesha kwenye kisanduku cha kupiga kura ya rais.
c. Sasa kama serikali imeficha Meremeta, you damn waandishi wa habari! mpo kwa ajili ya nini? Nendeni mkafukue kule walikoficha kisha tuanikieni wote tuone. Sasa unataka mimi nisiridhike na baada ya hapo niende kufukua huo uchafu ulikofichwa? Mimi ni daktari bwana, siogopi kuufutwa uchafu ulikojificha. Huwa nakagua kinyesi, napitisha mkono kwenye ile kitu inayoliwa usiku ili niangalie kama ni nzima au la. Unafikiri nitashindwa kutumbukiza kono langu kwenye hii chafu chafu ya Meremeta?
d. Aafadhali amejiuzia yeye kuliko angewauzia wageni. Hivi mzee Mwanakijiji wewe vipi hujui deals za nchi hii? Kuna deals kuanzia kwa Matona mpaka kule Ikulu. Leo mimi nimefanya deals zangu tatu, narudi home kama shujaa kwa familia na watoto wangu. Wasio jua deals wamekimbilia Ulaya baada ya hapa kuwashinda. Kwa tulioko TZ, deals ni sehemu ya maisha yetu. Tunazidiana speed tu. Njoo Bongo na ukamatwe pale Morogoro kwasababu gari lako halina fire extinguisher; traffic anakuambia safari hii haipo tena labda utoe 50,000 nikutafutia hiyo kifaa. Utafanya nini?
e. Uza yote hayo kwa makaburu bana! Waswahili tumeroga hatujui kitu chochote. Uliona wapi wenye akili wanakimbia nchi yao ili wakabebe mabox na kuwaachia wageni wanafaidi nchi yao? Watanzania wote bana! ni vichaa, akili zetu kama za yule mbwa, anabweka kwa mbali huku mwizi anapakua asali tu. Tunawaona wezi kwanini tunapigia kelele USA na sio kuja hapa Manzese tushirikiane na akina Dr. Slaa. Kwanini tunaunga mkono vyama hewa ambavyo hata havijazaliwa badala ya kuunga mkono chama kama CHADEMA ambacho kiko miaka mingi hata kama ni cha ukoo? Ukitaka kushiriki unaenda kuoa mjuu wa Mtei, usijali hata ukiwa na mke tayari, sisi hapa mitala inaruhusiwa. Karibu viongozi wetu wote wana mitala, hata mheshimiwa rais ana kamtala kake anavinjari usiku usiku na kwenye facebook yake anaweka busy. Ukisikia mbongo anasema yuko busy, jua anatongoza au anshughulikia totoz! mpya. Walinzi wanaachiwa washughulikie ile mama ya zamani! Zuma style.
f. Hiyo sheria ya kuhujumu uchumi lini ilifanya kazi? Sasa unataka sheria iliyofeli sasa tuitumie kwa mafisadi ili ifeli zaidi? Kwanza mafisadi wote ni marafiki wa raisi sasa unataka mimi nifanye nini? Unataka nikosane na raisi wangu? Hapana bana! hawa mafisadi washughulikieni wenyewe huko mitaani kama mnavyochoma moto vibaka. Mkiwaleta kwetu wabunge tuwajadili, tutawaachia maana ni wenzetu au wametusaidia pesa za kampeni zetu. Chomeni moto huko huko kwenu kwa kutumia njia nyingi. Wengi wao wanapenda ngono, wapelekee totozi wenye ngoma, wengi wanapenda kitimoto, ongezeeni fat humo baada ya muda pressure ipande na kuwaua. Wengi wanapenda miti shamba, ongezeni na ile mionzi ya Warusi.
Wakuu,
Acheni kuwa negative sana, mtaishia kukatisha tamaa watu wengi sana.
Hata hao mnaowaona mashujaa leo waliwapinga/waliwaondoa madarakani watu wengine.
Kugombea ni haki ya raia yeyote anayetaka, na kwa mbunge mchapa kazi hata siku moja hatakiwi kuwaogopa watu wapya wanaotaka kugombea kwenye majimbo yao. Wananchi sio wajinga, kama katimiza wajibu wake basi watampa kura. Waswahili wanasema kitanda usichokilalia, huwezi kujua Kunguni wake. Mtu anaweza kuwa hero kitaifa lakini kumbe kule kwao akawa na matatizo mengi sana. Akina Malecela waliangushwa kule kwao shauri ya mambo hayo hayo.
Kama ilivyo JF siku zote, mchambueni huyu mgombea na kama ana madudu huko nyuma basi yaanikeni hapa. Hii ya kuanza kuita watu mafisadi au wametumwa na mtu bila hata kuwa na chembe ya ushahidi kwa kweli inashusha hadhi nzima ya JF where we dare to speak openly with facts.
Dr Nakutakia mafanikio mema na nguvu na afya njema maana mpambano wa ubunge kwa Tanzania ni hekaheka kubwa. Muhimu ni dhamira yako mwenyewe na ndio itakusuta au kukushangilia maana wewe mwenyewe ndio unajua ukweli wote kwanini unaenda huko jimboni. Jitahidi sana kutokutumia njia chafu maana hazitakusaidia.
Mzee Mwanakijiji,kama ungekuwa ni mtihani ndugu yangu ningekufelisha vibaya sana. Bado namsubiria mbunge mtarajia aje anipe mtazamo wake usiouliza maswali juu ya maswali bali majibu yanayoeleweka ya kila swali. Lengo langu ni kujua mtazamo na msimamo wake kuhusu mambo hayo na labda mengine nitaendelea nayo baadaye. Sina sababu ya kumtega.
Nimempata kuleee wavuti,
Nilidhani ndio dr hamis (Mfili embiei)? au zyansiku?Sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.
Mkuu,
Tupo JF toka 2005 kule Business Times, tumesikia mengi sana.
Ukimtuhumu mtu kuhudhuria sherehe ya Monduli unakuja na ushahidi, au unakuja na picha. Vinginevyo unastahili kuwa Twanga Pepeta kwenye mipasho bila ushahidi kuliko hapa JF where we dare to speak openly.
Kama una facts za huko intern toa, unaogopa nini? Vinginevyo shut up maana huna jipya. Ndio maana waanzilishi wa JF walikuja na hilo neno where we dare to speak openly ili kila mwenye ukweli ajisikie kuwa huru kusema ukweli.
Mkuu, allow me to apologize for sleeping early last night... nilimiss hii post yako!!! pili naomba uondoe ujinga wa kujisifia kwamba nilikuwepo tangu enzi fulani, huo ni upungufu wa uelewa na nashangaa sana eti umemaliza juzi elimu yako ya juu zaidi... you make wale watumishi wanaojisifia kuwa idara moja kwa miaka 40 wawe ma-genious!!! una upungufu mkubwa sana wa upeo na nahisi you dont listen to many people around you... in short unatia huruma!!!
Tatu, you can not tell me to shut up because you are not my mother
Nne, you know exactly what i mean and that is the reason your adrenaline went up last night buddy!!!
Now back to my points, Hamisi anaelewa nasema nini, na kwa kuwa mimi ni zao la MUCHS [even before MUHAS], tuna a very good network nyingine ambayo si jamii forums, jambo forums wa whats-up forum.... tunashare mengi na wewe si mwenzetu,.... he has his issues wakati akiwa daruso na hata alipokua intern wakati wa mgomo
he is a hypocrit... na kujisifia anawajua watu wote maarufu na kuwa mbishi wa kupokea ideas.... jiulize ule mgomo wa intern uliosababisha akina seba kupoteza kabisa wito ulikuaje???? nimemaliza na wewe unayedhani kuwa kwenye forum kuanzia 2005 kunakupa uhuru wa kuwa kiranja.... the motion was njot about you but you really put a show ---- just like alicia keys
tuliza kitenesi na 2005 yako au unataka ku-trigger metamorphosis ya watu kuanzia 2007??
Hata mimi nashindwa kukuelewa, badala ya kudodosa dodosa si sema? Unaogopa nini? Toa madudu yote ya huyo jamaa ili wengine wote wajue.
Lakini kama huna pia kaa kimya kama alivyokuambia huyo jamaa mwingine. Naona kama unaandika mengi sana kwa kuficha ficha. Au na wewe ni fisadi unaogopa kujulikana ulifanya nini huko intern.
Inaelekea una mahasira sana, punguza usije ukapasuka.
same, urambo, kyela, nzega, simanjiro, nk. tatizo si mabadiliko ndugu, tatizo ni dhamira iliyo nyuma yenu.... namjua hamisi vizuri sana na dhamira zake pia.... NEED WE GO DEEPER?
sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.
si lazima kuinua mkia wa mbwa kujua tundu liko wapi mazee.... i just showed you where the tail is
Inaelekea wewe unamjua sasa saidia maswali haya, na wengine mnaomjua mwaweza kutusaidia kumjua vyema Doctor wetu Mbunge mtarajiwa
Muhimbili alimaliza mwaka gani? Intern alifanyia wapi? MPH, & MBA yake aliipata wapi na chuo gani or was online? Tunaomba ingawa ka Research/Dissertation yake aweke hapa kwanza kabla ya hayo maswali ya Richmond, ATCL, TANESCO....etc :redfaces:
Mkuu, allow me to apologize for sleeping early last night... nilimiss hii post yako!!! pili naomba uondoe ujinga wa kujisifia kwamba nilikuwepo tangu enzi fulani, huo ni upungufu wa uelewa na nashangaa sana eti umemaliza juzi elimu yako ya juu zaidi... you make wale watumishi wanaojisifia kuwa idara moja kwa miaka 40 wawe ma-genious!!! una upungufu mkubwa sana wa upeo na nahisi you dont listen to many people around you... in short unatia huruma!!!
Tatu, you can not tell me to shut up because you are not my mother
Nne, you know exactly what i mean and that is the reason your adrenaline went up last night buddy!!!
Now back to my points, Hamisi anaelewa nasema nini, na kwa kuwa mimi ni zao la MUCHS [even before MUHAS], tuna a very good network nyingine ambayo si jamii forums, jambo forums wa whats-up forum.... tunashare mengi na wewe si mwenzetu,.... he has his issues wakati akiwa daruso na hata alipokua intern wakati wa mgomo
he is a hypocrit... na kujisifia anawajua watu wote maarufu na kuwa mbishi wa kupokea ideas.... jiulize ule mgomo wa intern uliosababisha akina **** kupoteza kabisa wito ulikuaje???? he has lots of acronyms but ask him je ana-practice hiyo medicine?? je amesomea agriculture, ambayo ndiyo anaifanyia kazi kwa sasa?? nimemaliza na wewe unayedhani kuwa kwenye forum kuanzia 2005 kunakupa uhuru wa kuwa kiranja.... the motion was not about you but you really put a show ---- just like alicia keys
tuliza kitenesi na 2005 yako au unataka ku-trigger metamorphosis ya watu kuanzia 2007??
Sasa huyu ndiye nani? Mimi sipendi kweli haya magwanda ya kijani.