Wakuu eti selection za wanafunzi watakao jiunga kidato cha tano 2013 zitatoka lini maana tumeshachoka maisha ya mtaani na kikubwa tujue tumechaguliwa michepuo gani kwa ajili ya TUTION
mkuu hivyo nimevifanya nilipomaliza tu mtihani wa mwisho na huu ndo mwezi wangu wa mwisho.Kweli kabisa "umekaa kitaani"? Kipindi hiki ungetumia kufanya courses kujiongezea knowledge in languages, advanced computer skills etc. Wewe umekaa tu???
sasa we unataka wawe wakinanani peke yao au hujui hili ni jukwaa la elimu hata darasa la saba linamhusu usiwe masikini wa fikra weweKumbe tuna watoto wa O-Level humu?....ooh my gosh!
Wakuu eti selection za wanafunzi watakao jiunga kidato cha tano 2013 zitatoka lini maana tumeshachoka maisha ya mtaani na kikubwa tujue tumechaguliwa michepuo gani kwa ajili ya TUTION
Wakuu eti selection za wanafunzi watakao jiunga kidato cha tano 2013 zitatoka lini maana tumeshachoka maisha ya mtaani na kikubwa tujue tumechaguliwa michepuo gani kwa ajili ya TUTION
Kumbe tuna watoto wa O-Level humu?....ooh my gosh!
tatizo la wabongo ndo hili,mtu akishavuka ngaz moja anawadharau wenzake! haya hao watoto wewe mkubwa umefanya nn cha kujisifia mbele ya jamii?
Mtoto unaemdharau leo ndo atakuja kuwa daktar wako wa kesho
Kumbe tuna watoto wa O-Level humu?....ooh my gosh!
nimependa ujasiri wako kijana ungekuwa karibu yangu ningekupa chochote ambacho ungetaka kwangusasa we unataka wawe wakinanani peke yao au hujui hili ni jukwaa la elimu hata darasa la saba linamhusu usiwe masikini wa fikra wewe
hapo kwenye blue panauumbua ujinga wako acha kiherehere kuvamia mambo uonekane unajua unafikiri mwenzako kilaza kama wewe uliyeunga unga credits bila comb?? kama zimebalance comb zote anajua ataenda ipi?? tuliopitia hiyo mifumo tunajua unaweza ukachaguliwa comb na shule ambayo hukujaza lakini nimepata hisia wewe umepata zero mwaka huu ndo mana moyo unakusokota ukisikia mwenzio anasubiri shule sio mbaya jipange acha wivu wa kijinga roho ya kijicho babu hahaha unaloo limekuganda utasubiri sana acha wenye future wakaendeleze interest zaoWewe kweli Sheko, yani hujui utachaguliwa combination gani? hivi tunaanda taifa la aina gani jamani?
Wewe umefanya mtihani wa taifa, umechagua shule na combination unayotaka kusoma, matokeo yametoka, unashindwa kuangalia ni masomo gani ulifaulu ili ujue kama comb uliyochagua ime-balance au laha?
Vitu vingine huwe unafikiria tu sio kila kinachotanda kichwani wewe unakurupuka kuanzisha thread. Bahati yako Mods hawajaiona, wangekifutilia mbali ki-thread chako.
mwenzio anaenda kuendeleza kisungu shaurilo na minyoo uliyosomaWewe kweli Sheko, yani hujui utachaguliwa combination gani? hivi tunaanda taifa la aina gani jamani?
Wewe umefanya mtihani wa taifa, umechagua shule na combination unayotaka kusoma, matokeo yametoka, unashindwa kuangalia ni masomo gani ulifaulu ili ujue kama comb uliyochagua ime-balance au laha?
Vitu vingine huwe unafikiria tu sio kila kinachotanda kichwani wewe unakurupuka kuanzisha thread. Bahati yako Mods hawajaiona, wangekifutilia mbali ki-thread chako.
nimependa ujasiri wako kijana ungekuwa karibu yangu ningekupa chochote ambacho ungetaka kwangu
kwa hiyo we umeona kalio tu?? mnasoma sana minyoo ndo mana mnashindwa kufikiri mwenzio anataka zawadi ya vitabu we unawaza nyeti puuu poor youHata kalio ungempa? we jamaa lazima utakuwa na itlafu kwenye nyeti zako.