Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
Mwl. Lengo la hii habari yako ni nini?
>Kutujulisha kuwa wananch walifurika, na hivyo kudhirisha CCM bado inapendwa Saranda?
>Kutujulisha aliyoyasema kinana, kuwa ilan yao inatekelezwa vema?
>Kutujulisha kuwa Kinana alishirik kula na abiria wengine?
>Kutujulisha ushabik wako kwa chama na Secretariat?
kiongozi mzuri ni yule anayetenda nakufuatilia utekelezaji kuliko kusubiri kuambiwa. Hiyo inamaslahi kwao na wanaowaongoza
Kinana na timu yake wanaijenga ccm kwa kasi ya ajabu
Hata mwl wa chekechea naye ni mwalimu. Maana naamini angekuwa mwalimu wa degree asingeandika hii habari kwa sababu ipo kichekechea zaidi
Kinana na timu yake wanaijenga ccm kwa kasi ya ajabu
Kwann hapa jf hatupendi kusikia ccm wamefanya kitu kizuri? Naona ktk mijadala mbalimbali hapa kuna wafuasi wa ccm na chadema, lakini ccm wakifanya kitu hata kama ni kizuri kitapondwa tu, ni ccmophobia?
Atakuwa mwalimu wa Madrassatul Islamiya finnurku ya Manyoni
Mwalimu ni mwalimu tu,ww ulianzia wapi! Acha dharau jenga hoja
hakuna kitu kizuri kilichowahi kufanywa na maCCM ... period
Kwann hapa jf hatupendi kusikia ccm wamefanya kitu kizuri? Naona ktk mijadala mbalimbali hapa kuna wafuasi wa ccm na chadema, lakini ccm wakifanya kitu hata kama ni kizuri kitapondwa tu, ni ccmophobia?
kweli mana wanapora wake za watu wanavunja ndoa za watu na kutelekeza familia.hao wake wanawaita wachumba huku wana miaka 60 na kidogo
tembo wetu jamani wsko hatarini au anaenda gombe mungu wangu.
kiongozi mzuri ni yule anayetenda nakufuatilia utekelezaji kuliko kusubiri kuambiwa. Hiyo inamaslahi kwao na wanaowaongoza
Kwann hapa jf hatupendi kusikia ccm wamefanya kitu kizuri? Naona ktk mijadala mbalimbali hapa kuna wafuasi wa ccm na chadema, lakini ccm wakifanya kitu hata kama ni kizuri kitapondwa tu, ni ccmophobia?