T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 991
Atakuwa mwalimu wa Madrassatul Islamiya finnurku ya Manyoni
ilikuwa sunday classes ya kumtukuza bwana yesu kule machame moshi
Atakuwa mwalimu wa Madrassatul Islamiya finnurku ya Manyoni
Mnadanganywa huku akiwa kinara wa kupeleka nyara zenu njee na kujineemesha,nyinyi mnadhani anawapenda na kuwajali sana!anachopata ni kikubwa kuliko huo usanii anaoufanyaSekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
Mwl. Lengo la hii habari yako ni nini?
>Kutujulisha kuwa wananch walifurika, na hivyo kudhirisha CCM bado inapendwa Saranda?
>Kutujulisha aliyoyasema kinana, kuwa ilan yao inatekelezwa vema?
>Kutujulisha kuwa Kinana alishirik kula na abiria wengine?
>Kutujulisha ushabik wako kwa chama na Secretariat?
unajua sima manake sina uhakika kama kweli ni wewe ni mwl. kama sisi yaani mwl. wa tgts ndo hoja yake maana sie wenzako wote wa tgts tulishaiasi ccm siku nyingi sana sasa tukiona mtu anajiita mwl halafu anashabikia magamba,huwa tunajiuliza hivi kweli huyu ni mwenzetu au ndo wale type ya akina mama sita,mlugo,na mama riz?Mwalimu ni mwalimu tu,ww ulianzia wapi! Acha dharau jenga hoja
You are suffering from chademic syndrome!Pole sana mwalimu.......Kwa hali hiyo mnasafari ndefu sana kufanikiwa madai yenu, pole sana!
Kwann hapa jf hatupendi kusikia ccm wamefanya kitu kizuri? Naona ktk mijadala mbalimbali hapa kuna wafuasi wa ccm na chadema, lakini ccm wakifanya kitu hata kama ni kizuri kitapondwa tu, ni ccmophobia?
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
kweli mana wanapora wake za watu wanavunja ndoa za watu na kutelekeza familia.hao wake wanawaita wachumba huku wana miaka 60 na kidogo