Sekretarieti ya CCM Taifa yafunika Saranda Manyoni.

Sekretarieti ya CCM Taifa yafunika Saranda Manyoni.

Kwann hapa jf hatupendi kusikia ccm wamefanya kitu kizuri? Naona ktk mijadala mbalimbali hapa kuna wafuasi wa ccm na chadema, lakini ccm wakifanya kitu hata kama ni kizuri kitapondwa tu, ni ccmophobia?
Lazima wewe utakuwa huishi TZ au ni wale wale CCM MASLAHI tueleze ni kipi kizuri ccm imefanya?
 
Nashangaa juu ya vipaumbele vya chama. Badala ya kuelekea kusini kuzima moto unaowaka Mtwara na Masasi, Sekreteriati inaelekea Kigoma! Au inakimbia matatizo kwa kuamini ni upepo utapita tu ? Namskikitia JK kukosa wasaidizi na washauri makini.
 
Wana Mtwara wanaitwa jamani njoo hata kesho?tuwafunze namna mtakavyoendelea kuwafunika wenzenu anajua Hawa Ghasia
 
You are suffering from chademic syndrome!


Hata mkinuna ukweli lazima tuseme,KUIPENDA NAKUISHABIKIA CCM katka nyakati hizi tena na mtu anayeishi maisha magumu ni ugonjwa mbaya kuliko huo ulioutaja.....TENA ANAPASWA KUPEWA POLE COZ BADO HAJAJITAMBUA!
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.

Watu wanauana huko Kusini wao wanakimbilia Kigoma. Hiyo ilani wanayotekeleza ni ile ya kudidimiza uchumi na kufilisi rasilimali za taifa ama ni ilani ipi.
 
Hawa waongo wakubwa kwa mtu wa Kigoma kusafiri kwenda Dar kwa treni huwa tunamshukuru Mungu ni anasa hiyoo kwani treni yenyewe ina mabehewa matatu tiketi zinakatwa kwa 5% tu ya abiria hlf wao wanajifanya kupanda treni hiyohiyo na kutumalizia nafasi. Shida ya kigoma ni usafiri hakuna cha ndege, meli, treni wala barabara.
Ningewaona wa maana kama wangepanda basi la Adventure ama Saratoga wakala vumbi la Kakonko au watekwe na Majambazi Rusahunga ndio waseme wameenda kgm.
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
Hata kama uwe muovu vipi huwezi kukosa wafusi, la kujiliza je akiacha hao wenzake anawatendea nini wapendwa wa Mungu wana mayoni zaidi ya kuwahadaa na kutesa wananchi kwa ukosefu wa huduma bora za afya, elimu,maji barabara na mazuri mengineyo ambayo ni haki yao? upuuzi mtupu
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
Kianan kwa nini asiendi Mtwara kuwaelezea hizo ilani za ccm ili waache kuandamana?
 
Back
Top Bottom