Sekretarieti ya CCM Taifa yafunika Saranda Manyoni.

Sekretarieti ya CCM Taifa yafunika Saranda Manyoni.

Mwl. Sima

Senior Member
Joined
Dec 17, 2012
Posts
124
Reaction score
15
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.
 
Pole sana mwalimu.......Kwa hali hiyo mnasafari ndefu sana kufanikiwa madai yenu, pole sana!
 
Kama walitegemea kupanda train kwenda Kigoma ingewapa credit za kisiasa naona sasa hata magazeti yao itabidi waandike havari za masasi kwanza kwa hiyo viherehere vyao vya kujinadi ujinga vitakwama
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.

Hata mwl wa chekechea naye ni mwalimu. Maana naamini angekuwa mwalimu wa degree asingeandika hii habari kwa sababu ipo kichekechea zaidi
 
yaani cha maana kwa katibu mkuu alichoona ni kushiriki kula ubwabwa .... ameshindwa hata kushiriki kupanda miti hapo manyoni ukame umezidi
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.

Ualimu wako unatia mashaka, na kama sikosei utakuwa ni mwalimu wa kichina (voda-faster). Ok habari njema waambie waje wafunike na huku Mtwara.
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.

wewe ni mwalimu wa somo gani?hilo la wao kusafiri na treni na kula chakula ndiyo matatizo ya msingi kwa watanzania?think tank ya ccm uwezo wa kufikiri umefika mwisho mnatumia rasilimali muda na pesa kufanya vitu ambavyo impact yake ni ndogo sana.mngetupa ripoti ya mafanikio ya ziara za hiyo sekretarieti kusini hususani mtwara na lindi na kaskazini hususani arusha.kama ni utekelezaji wa ilani basi mwenyekiti wenu aliahidi treni ya umeme na kuigeuza kigoma dubai imefikia wapi?
 
Ni kweli haina maslahi kwa taifa!watuambie kwanza utekelezaji wa sera lukuki za chama chao kwa wananchi walio wengi hasa kwenye reli yenyewe dar hadi kigoma na mwanza.angalia vijiji vyoote kufuata reli wana changamoto nyingi sana maji,vituo afya,shule,usafiri,umeme....hadi kigoma ambao waliahidiwa itakuwa Dubai ndogo!na treni ya umeme kabla 2015
 
Sekretarieti ya CCM Taifa ikisafiri toka Dar kwenda Kigoma kwa usafiri wa Train, leo wamefunika Saranda wilaya ya Manyoni Mkoani Singida, umati mkubwa wa watu umehudhuria na Katibu Mkuu Abrahamani Kinana alitoa salam za Chama katika utekelezaji wa Ilani. Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.

Wakimaliza huko, waende moja kwa moja kusini wakarudishe matumaini kwa wananchi. Hiyo ILANI isitekelezwe barabarani tu, wananchi ndiyo tunatakiwa kuyaona na kuyasifia hayo.
 
Mwl. Lengo la hii habari yako ni nini?
>Kutujulisha kuwa wananch walifurika, na hivyo kudhirisha CCM bado inapendwa Saranda?
>Kutujulisha aliyoyasema kinana, kuwa ilan yao inatekelezwa vema?
>Kutujulisha kuwa Kinana alishirik kula na abiria wengine?
>Kutujulisha ushabik wako kwa chama na Secretariat?
 
Hata mwl wa chekechea naye ni mwalimu. Maana naamini angekuwa mwalimu wa degree asingeandika hii habari kwa sababu ipo kichekechea zaidi
Mwalimu ni mwalimu tu,ww ulianzia wapi! Acha dharau jenga hoja
 
Huyu Kinana haaminiki, isije ikawa ndo anatafuta maeneo mapya ya uwindaji haramu wa Tembo wetu.
 
.....Baada ya hapo alishiriki kula chakula na abiria wengine km kawaida.... miungu watu wa maccm bado hapakuchi, unamaanisha ni lulu kumpata Kinana kula naye chakula au
 
Back
Top Bottom