Kikosi kipya cha kuivusha CCM 2015 hii hapa;
Makamu Mwenyekiti- Phillip Japhet Mangula
Katibu Mkuu -Mulongo (kwasasa RC ARUSHA)
Katibu Mwenezi - Nape Nnauye
Mambo siasa na nje- Asha-Rose Migiro
Mipango na Oganizesheni- Samiah Suluhu Hassani
Mweka Hazina - Anthoni Mwandu Diallo
TIMU HII IMEKAAJE?.....HASA KWA EL NA CDM
CCM ni ni taasisi kubwa sana hakuna siri zinavuja kijinga jinga kama Chadema
it'll be a dream team; hasa wakimrudisha Mang'ula ambaye wamemuacha pembeni. Hilo la Diallo na la Migiro wanaweza kweli kuingia.
Kikosi kipya cha kuivusha CCM 2015 hii hapa;
Makamu Mwenyekiti- Phillip Japhet Mangula
Katibu Mkuu -Mulongo (kwasasa RC ARUSHA)
Katibu Mwenezi - Nape Nnauye
Mambo siasa na nje- Asha-Rose Migiro
Mipango na Oganizesheni- Samiah Suluhu Hassani
Mweka Hazina - Anthoni Mwandu Diallo
TIMU HII IMEKAAJE?.....HASA KWA EL NA CDM
Will never happen on earth Mangula kurudi? We check tu jamaa anavolalamika kuwa kundi la Mwandosya lilimuumiza sana, and just try to picture out Mangula alikuwa kundi gani at that time halafu sasa amrudishe????
natofautiana nawe kidogo, kikosi nilichonacho mimi kinataja makamu mwenyekiti atakuwa mwanamamaKikosi kipya cha kuivusha CCM 2015 hii hapa;
Makamu Mwenyekiti- Phillip Japhet Mangula
Katibu Mkuu -Mulongo (kwasasa RC ARUSHA)
Katibu Mwenezi - Nape Nnauye
Mambo siasa na nje- Asha-Rose Migiro
Mipango na Oganizesheni- Samiah Suluhu Hassani
Mweka Hazina - Anthoni Mwandu Diallo
TIMU HII IMEKAAJE?.....HASA KWA EL NA CDM
Kikosi kipya cha kuivusha CCM 2015 hii hapa;
Makamu Mwenyekiti- Phillip Japhet Mangula
Katibu Mkuu -Mulongo (kwasasa RC ARUSHA)
Katibu Mwenezi - Nape Nnauye
Mambo siasa na nje- Asha-Rose Migiro
Mipango na Oganizesheni- Samiah Suluhu Hassani
Mweka Hazina - Anthoni Mwandu Diallo
TIMU HII IMEKAAJE?.....HASA KWA EL NA CDM
Nakata rufaa kwanini lusinde na Nchemba hawamo?
wewe unayesema Mangula is the gud Architect in that field,umesahau kwamba alikuwapo mwaka 2000, u mean yeye ndio aliye chora jamaa akapita?