Sehemu za kutembelea hapa Dar

Sehemu za kutembelea hapa Dar

Hapana madam. Yale maji ni ya bwawa la Minaki hayatembei kwahiyo tuliambiwa wanaogopa magonjwa ya mlipuko. Ila niliambiwa pool is on the way.
Kweli na maji ya bwawani hua sio safe, wakileta pool itabamba.
Hizo activities zai nzuri sana
 
Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu

tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze

mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea

halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.

Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Jumapili ijayo ngoja nicheki ramani za kanisa .si unajua mi mzee wa usharika??
 
Natumaini wewe unaesoma uzi huu ni mzima wa afya.

Nimekuwa nikikaa hapa Dar kwa muda mrefu kidogo na kumakinika na kazi tu. Hii imekuwa ni 'one way go and return home'. Kwa sasa naona kuna umuhimu wa kutembea sehemu mbalimbali za kutulia na hata kuona jinsi watu wanavyokula maisha hapa Dar.

Kwa hiyo kama kuna anayejua sehemu mbalimbali nzuri iwe ni bichi, klabu, migahawa au mahali mtu anaweza kwenda kutuliza akili kidogo kwa muda na kurudi ambazo zipo hapa Dar. Na hizo sehemu nikienda kutulia hata vinywaji na chakula gharama ya chini iwe 20k.

Kuwe na watu wengi ambao wanakuja sehemu hiyo, muingiliano uwepo kidogo wa watu, hata kukiwa na 'vibe' kidogo sawa kabisa. Eneo na jina la mahali ndicho nachohitaji ili nianze kwenda kupoa siku za wikiendi na siyo kuzubaa tu nyumbani.

Kwa msaada wa google maps yote yanawezekana!
Beach Kidimbwi
 
[mention]CONTROLA [/mention] umenikumbusha kwenye mavazi
Pigo ulizotaja ni kama ifuatavo kwa mwanaume
IMG_0668.jpg

Hapo unaweza piga tishirt mfano wa body
IMG_0670.jpg

IMG_0669.jpg

Sandals za aina hiyo
IMG_0671.jpg

Unaweza lamba summer hat moja na miwani au bila miwani ukitia hivo kwenye lascate mambo yanakua safi.
 
Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu

tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze

mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea

halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.

Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Boss itabidi nikucheki PM tuongee kabisa. Sema j2 hii kuna mechi Taifa ila tutachekiana PM nikuelekeze zaidi na namba za cm boss.
 
Back
Top Bottom