witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Sure...mbuzi mtamuu eeh?Walinzi wapo kama wotee! Kuhusu usalama pako poa. Ni eneo zuri kwa kujichanganya na kujumuika na binadamu wenzako.
Sure...mbuzi mtamuu eeh?Walinzi wapo kama wotee! Kuhusu usalama pako poa. Ni eneo zuri kwa kujichanganya na kujumuika na binadamu wenzako.
Kawaida tu. Ila utamu wake unachagizwa na ile kampani unayoikuta pale... C unajua tena, raha ya pesa uitumie pale unapo onekana... 😄😄😄Sure...mbuzi mtamuu eeh?
kajojo ni PMMnh naona unatupia ndoa ki dizian flani hiviiii.... Ila nimekue
Mnnnh naona unatupia ndoano ki dizian flan hivi ii tusiku shtukie.. Ila nimekuelewa
😅😅Ok nmekuelewa by the way,ntakutafutaNaona hatuelewani we uko kushoto mi nko kulia..bye felaa
Kutana na miss natafuta Mwanamke wa kwanza kutamka "all bills on me"Wooh asante mkuu
Anaetaka twende aje pm
All bills on me
Ila uwe unajitambua
Usiwe mnywa pombe
Silipii pombe mie
Kweli na maji ya bwawani hua sio safe, wakileta pool itabamba.Hapana madam. Yale maji ni ya bwawa la Minaki hayatembei kwahiyo tuliambiwa wanaogopa magonjwa ya mlipuko. Ila niliambiwa pool is on the way.
Hahaha ila ukifika utataka uvimbe uoneshe we kidume utalipa wewe.., 🤣🤣Kutana na miss natafuta Mwanamke wa kwanza kutamka "all bills on me"
😂😂
Eheee mnara wake ujengwe dodoma eti mkuu??Kutana na miss natafuta Mwanamke wa kwanza kutamka "all bills on me"
![]()
Ahaaa mwanaume mwenye akili anatakiwa ajiongeze bna.sema uzuri sinywi pombe.so sina gharama hataHahaha ila ukifika utataka uvimbe uoneshe we kidume utalipa wewe..,![]()
Jumapili ijayo ngoja nicheki ramani za kanisa .si unajua mi mzee wa usharika??Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu
tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze
mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea
halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.
Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Kwani jina lako ninanihusu nini mkuuAlafu nikija najitambulishaje, kwa jina halisi au la JF?.
Mbona tunaogopeshana tenaHivi si mwaka jana zilisambaa videos za simba wakitembea vikindu na inasemekana wakitokea humo forest
Papo safe kweli
Sawa dogo usijali utanibebea hata pochi.chawa kama chawaNamm nije dada?
Im 18yrs old
Beach KidimbwiNatumaini wewe unaesoma uzi huu ni mzima wa afya.
Nimekuwa nikikaa hapa Dar kwa muda mrefu kidogo na kumakinika na kazi tu. Hii imekuwa ni 'one way go and return home'. Kwa sasa naona kuna umuhimu wa kutembea sehemu mbalimbali za kutulia na hata kuona jinsi watu wanavyokula maisha hapa Dar.
Kwa hiyo kama kuna anayejua sehemu mbalimbali nzuri iwe ni bichi, klabu, migahawa au mahali mtu anaweza kwenda kutuliza akili kidogo kwa muda na kurudi ambazo zipo hapa Dar. Na hizo sehemu nikienda kutulia hata vinywaji na chakula gharama ya chini iwe 20k.
Kuwe na watu wengi ambao wanakuja sehemu hiyo, muingiliano uwepo kidogo wa watu, hata kukiwa na 'vibe' kidogo sawa kabisa. Eneo na jina la mahali ndicho nachohitaji ili nianze kwenda kupoa siku za wikiendi na siyo kuzubaa tu nyumbani.
Kwa msaada wa google maps yote yanawezekana!
😂😂😂kwenye mserereko kama huu naanzaje kuvimba bro?? Yaan hapa n mwendo wa kula mbuzi choma mpaka nikiegamia tumbo humu kwenye mbavu mnauma kwa jins nlivoshibaHahaha ila ukifika utataka uvimbe uoneshe we kidume utalipa wewe.., 🤣🤣
Au yana kichocho😤🤔Ila hayo maji yamekaa km kuna mamba![]()
Boss itabidi nikucheki PM tuongee kabisa. Sema j2 hii kuna mechi Taifa ila tutachekiana PM nikuelekeze zaidi na namba za cm boss.Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu
tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze
mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea
halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.
Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Hebu weka pigo za kike mkuu[mention]CONTROLA [/mention] umenikumbusha kwenye mavazi
Pigo ulizotaja ni kama ifuatavo kwa mwanaume
View attachment 2391153
Hapo unaweza piga tishirt mfano wa body
View attachment 2391154
View attachment 2391155
Sandals za aina hiyo
View attachment 2391156
Unaweza lamba summer hat moja na miwani au bila miwani ukitia hivo kwenye lascate mambo yanakua safi.