Sehemu nzuri ya starehe Mwanza ni ipi?

Sehemu nzuri ya starehe Mwanza ni ipi?

Habari ya mujini daraja la furahisha piga selfiee weeee kisha zama city mail halafu kawatembelee wamasai kuleeee darajan kwao ukimaliza ingia makoroboi

Ila watu wa dar mkijaga mwanza full mashauzi utadhan mkienda msalan mnatoaga mzigo wa dhahabu

😵😵😡
😵😵🙂
 
Unapenda changanyikeni au sehemu tulivu kulingana na umri wako.Bainisha halafu tukuelekezee
 
Una undugu na Le mutuz nini? sasa kuulizia sehemu ya starehe jamii forum wapi wapi? inabidi ukatubu kaka
 
Natarajia kuwa Mwanza kwa wiki mbili kuanzia tarehe 22 mwezi huu.Kwa wanaoifahamu Mwanza vizuri ni sehemu gani nzuri kwa starehe Mwanza.

Kama hujui usichangie tafadhali.
unauliza sherehe msibani aisee. toka lini wafugaji wakawa na sehemu za starehe?
 
kama hauna pesa ya kutosha usiende JB BELMONT HOTEL,, hapo hapanaga vurugu mkuu,

kama pesa nene nenda katulie pale upate raha duniani,,, totoz graduate pale hahahaha

JB BELMONT HOTEL
 
Malaika Beach, Sanane Island Park, kishimba beach, shafiq beach, Tilapia Hotel
Villa park resort, rock bottom club, maisha basement, flames club, club 55, n.k
 
Back
Top Bottom