Okyy..hv unafaham wa dodoma wanaofanya threesomeNenda Dodoma hoteli pale kwa mgahawa wa kichina pametulia ila na budget imetulia
Labda ukitaka hvyo tafuta air bnb houseHivi Dodoma kuna hotel (s) ambayo ina small villas houses?
Ambapo mtu kama wapenzi wanataka utulivu na faragha ya peke yao wenyewe,
Hata wakitaka kuwa naked hakuna mwingiliano na wateja wengine ?!
Dar yenyewe sijui kama zipo.
Nikisikiaga kigamboni sijui kama kweli!
Labda ukitaka hvyo tafuta air bnb house
Kuna chimbo tulivu lenye viwango panaitwa DomiyaWakuu umofia kwenu?
Natafuta pub au sehemu yoyote kama bar iliyojificha ficha maeneo ya Dodoma. Nataka niende na mtoto sasa sipendi sehemu yenye watu wengi.
Ni nyumba private ..mtu unakodisha kwa siku mojaZile za maeneo ya Mwenge?
Au ?
Okay...hivi pale si ndo mnakula ndan ya ile restaurantKuna chimbo tulivu lenye viwango panaitwa Domiya
Ni nyumba private ..mtu unakodisha kwa siku moja
HapanaOkyy..hv unafaham wa dodoma wanaofanya threesome
Njoo Sunset lodge
Kila kitu ndani kwa ndani.
Nakutafutia chumba self safi...
Hata kama huna 'mtoto' nitakutafutia
Njoo Sunset lodge
Kila kitu ndani kwa ndani.
Nakutafutia chumba self safi...
Hata kama huna 'mtoto' nitakutafutia
Nipange mkuuNjoo Sunset lodge
Kila kitu ndani kwa ndani.
Nakutafutia chumba self safi...
Hata kama huna 'mtoto' nitakutafutia
Dodoma hakuna ubunifu kabisa wa biashara. Kula mtu anawaza kufungua bar tu. Uwezo wa kufikiri umeishia hapo.
Acheni dharauHata sehemu yenye huduma ya breakfast nzuri mfano yenye chai ya maziwa ya ukweli ya viwango sizani kama zipo Dodoma!
Yani mmnh!
Acheni dharau
Kama hamjafika Dom tuulizeni
Njoo nikupeleke maana staki maneno matupu.Wala siyo dharau!
Hebu tuambie sehemu zenye migahawa ya ukweli ni wapi walau miwili nitatuma.
Sema ninachokiona pengine vile wewe utaona panakufaa si vile mimi patanifaa.
Ni mfano mimi siwezi ona wali ulopikwa
Kwa Rice cooker kufaa lakini wewe au mwingine akaona unafaa.
Hahaha kweli wewe mgogo Sasa hapo uhindini Kuna kipi Cha maana zaidi ya kachori, sambusa na Chapati za kumimimaNjoo nikupeleke maana staki maneno matupu.
Uhindini kuna machimbo kibao ya levo zenu wadosi
Kwaio hata Dodoma Hotel ni pakifala? Njoo uhindini upelekwe hadi mighahawa ya European foodsWafanyakazi wenyewe nasikia ambao wako committed ni wale wa kutoka mikoa mingine lakini wenyeji hawaishi excuses na ubwa!
Hapo utasema ni dharau wewe Einstein?