Secret lover huyu mmhh!!

Smile nawe umeolewa kama mkundeoriginal ? Hata mie nimekupenda bila kumsahau miss strong na kama kawa Madame B .
Naombeni urafiki.
 

Si.mgefanana majina au na wewe umeshaanza kumpenda mzinifu mwenzio?
 
Dada yake wa hadithini kwi kwi kwi kwi in brackets isomeke "ex mupenzi"

Ni pacha wake bwana na shemeji wa abroad kataifisha!
Hiyo kwenye brackets ndio mmeshasoma between the lines?
Watu wabaya!!!
 
Chezeya njemba weye!! Wanapokuwa wanamsamrandia mrembo....baadhi huingia kwa gia yoyote ile bila kujali athari zake.

Ni pacha wake bwana na shemeji wa abroad kataifisha!
Hiyo kwenye brackets ndio mmeshasoma between the lines?
Watu wabaya!!!
 
...aonywaye mara nying akishupaza shngo huvunjika... Smile ashasema yote.
 
Last edited by a moderator:
Yanini kumstua bana!!! Anaenda naye mdogomdogo huku akifurahia maua mazuri na vitafunwa toka kwa njemba lol!!

he! kumbe ni mke wamtu, kwanini hukumwambia huyo msiri?
 
Hivi inakuwaje unafahamu fika ni mke wa mtu. Inakuwaje unajichekesha kwa wanaume? hujui ndio mwanzo wataanza kukudharau na matokeo yake unaishia kushikwa shikwa. aaawww
 
duuh hata mbuyu ulianza kama mchicha,mchekee tu uje kuharibu ndoa yako.muhurumie mumeo yaani nilivyosoma post yako nimepata hasira balaa nikajiona mm ndiye mumeo uliyeniaga unaenda kazin kumbe umetolewa offer na mchizi mwingine.ukija kuachwa utamlaumu mumeo?? umepata bahati ya kuolewa jiheshimu wengi wanaillia hyo chance.nataman ningekuwa mumeo then nasoma hii post yako au namjua mumeo ningemwambia aiseee
 
 
Hivi inakuwaje unafahamu fika ni mke wa mtu. Inakuwaje unajichekesha kwa wanaume? hujui ndio mwanzo wataanza kukudharau na matokeo yake unaishia kushikwa shikwa. aaawww
umeona eeeh yaani sipati picha mke wa mtu unavosogezewa kiti ukae ! mara umeletewa maua na choklate..yaani ni vile huyu mkunde original naheshimiana nae hapa jf ..ningetukanaje! nimeumia utadhani ni mimi
 
Ana shida zake kiswahili rahis kakutamani ningalikuwa mim nisingali. Kula vya watu mana mwishowe uliwe nawe japo vyako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…