Secret lover huyu mmhh!!

Secret lover huyu mmhh!!

ni mke wa mtu source yeye mwenyewe! nashangaa mke wa mtu unakubali romantic offers kama hizi jamani! mkunde real umenidissapoint ujue!
bora mimi na wewe tuendeleze tu kile chama cha ma barchelor wewe utakua ni katibu ,mimi mwenyekiti
 
Kwi kwi kwi kwi hahahaha lol!!!! Hiyo ndio gia jamaa aliyoamua kuingia nayo, baadaye njemba itabadilisha gia na kuingia na gia kubwa.

Mkunde Original,

Acha fix bana we bishost.......

wewe umetongozwa na huyo mkaka,

sema unatuletea swaga zako tu hapa.....

kama vipi, we msikilize tu....ndo mapito yenyewe hayo!
 
Hahaha huyo kaka wa kuniletea fresh roses uwii. Kaizer hivi wewe ni kakangu kweli? Mbona kama haunipendi? Chocolate na maua tafadhali

Leo napiga honi homr kwenu na mzigo.mi nakuletea deal tu maua waachie wazungu
 
Last edited by a moderator:
mimi ndo maana sitaki kuoa kama wanawake wenyewe shobo hivi.....unashikwa mahala bado unachekelea tu mke wa mtu..au na wewe baby wakikuletea maua unapokeaga huko ofisini kwako?

unadhani nitakwambia kama napokeaga......huyo anaweza kumvuta taratibu

hasa kaa mme wake hivo vitu hafanyagi ujue
 
Women have their own share of trouble from men, na wengine ukiwa married ndo kwanza wanaongeza kasi na maujanja ya kukupata si eti Kaka Kaizer?
 
Last edited by a moderator:
Duh!...hii ni full tamthilia ya wafilipino...
advance ofisi gani ambayo haina maadili...eti mtu akikupenda anajientroduce kwa kushow macare....is it applicable hata kwa walio ndoani au ni kwa waseja pekee?
(only ts allowed kama ni moja ya majukumu yenu ya kazi vinginevyo?????????)...hiyo uliyotuonesha hapo sio sharing iz caring among co-workers imeenda maili nyingi zaidi na ofisi inayoruhusu mambo hayo haiwezi kuitwa advanced ofisi....
Ts either tamthilia au mtongozo umeupamba sana ili kuupa uhalali.....ukweli unaujua mwenyewe.
 
Hiyo ni mbinu ya kukutongoza, inaitwa indirect seduction method, unaweza kukutana na msichana mzuri halafu ukajawa na hofu ya kumtongoza moja kwa moja, unachotakiwa kukifanya hapo ni kujifanya unashangaa "my God wewe dada mbona unafanana sana marehemu mchumba wangu, yaani mnafanya utafikiri mapacha, kukuona tu umenifanya moyo kwenda mbio sana maana nilikuwa nampenda sana mke wangu na anafanana na wewe kila kitu, sikutegemea kama nitakuja kukutana na mwanamke mwingine anayefanana na aliyekuwa mchumba wangu, tafadhari sana dada nakuomba sana tukae sehemu japo kwa muda mchache tu nikueleze kwa kifupi sana inawezekana ni ndugu yako". Basi hapo unaendelea na mambo mengine na hatimaye mwisho wa siku unaopoa kifaa kwa ulaini, chezea wanaume sisi wewe
 
duh hii bonge ya movie , kwa hiyo na wewe unaamini unafanana na dada yake??? duh haya hiyo ndo gia ya kuanzia kaa mkao wa kula
 
[FONT=century
gothic]Kwi kwi kwi kwi hahahaha lol!!!! Hiyo ndio gia jamaa
aliyoamua kuingia nayo, baadaye njemba itabadilisha gia na kuingia na
gia kubwa.
[/FONT]

Mpaka hapo atakapoamua kubadili gia,kwa sasa tuendelee tu kuamini kuwa amemfananisha na dada yake aliyetokomea!!
 
Hahahahaa...ngoja uchapwe nao ndo utajua ni kaka au lambalmba...

Eti mwasema wanaume hawajui tongoza, hiyo nn sasa?..tena bi dada hata mmeo hujamwambia kuhuau hilo janga...

Tunaomba urudi kutupa mrejesho pindi utakapopewa dushelelee
 
Hahahahaa...ngoja uchapwe nao ndo utajua ni kaka au lambalmba...

Eti mwasema wanaume hawajui tongoza, hiyo nn sasa?..tena bi dada hata mmeo hujamwambia kuhusu hilo janga...

Tunaomba urudi kutupa mrejesho pindi utakapopewa dushelelee
 
Back
Top Bottom