Secret lover huyu mmhh!!

Secret lover huyu mmhh!!

ni mke wa mtu source yeye mwenyewe! nashangaa mke wa mtu unakubali romantic offers kama hizi jamani! mkunde real umenidissapoint ujue!

dont be disspointed I know where I stand, offers are nothing to me
 
Na zile swaga zako za kufanya mazoezi ya kukata tumbo ila wowowo ibaki,ndo alipo nasia hapo huyo kaka wa ofisini
 
Damn!! men we are full of tricks, lkn ofisi yenu nzuri nimeipenda munatongozana ki diplomasia nafkiri ni mmoja ya sera zenu hapo?
 
wala usimshangae Mkunde wa watu,

kwenye hili wanawake wengi hamna ujanja,

No matter you are ''single'' or ''double''...........lol

sijisifu kuwa mie ni mjanja ila sikamatiki haraka
 
Usikimbilie kum judge Smile. Being married does not mean you are no longer attractive. What matters is how you deal with these advances from the opposite sex.

Thanks my dear kwa kuelezea hivo, that is what matters most
 
anataka uwe dada ake........mie hapo nahisi kama anakupenda vile

anajua that your married.....but I know this can not stop him from loving you

I can not be his sister but I can be like his sister, anajua kuwa nimeolewa akinipenda anipende tuu kivyake mie hata sijadondokewa na roho ya kumpenda hata
 
Habari zenu wapendwa,
Hope mko salama na mnaendelea na shuhuli zenu. Mie bana mwezi wa saba mwaka huu ni nilifanya interview kampuni flani hivi na mwezi wa tisa nilipigiwa simu kuwa nimepata kazi na niliripoti ofisi mpya kuanza kazi mara moja. Ofisi mpya iko advanced yaani wanaishi kizungu zungu sharing and caring kwa sana. Sasa tangu nimeripoti mie nasoma mazingira na tabia za watu kwanza. Two weeks later nikaanza kukuta message kwenye dawati langu na parcels from secret lover kumuuliza secretary na staff wengine wakaniambia hiyo ni kawaida ya hiyo ofisi kumkaribisha mgeni na huwa kuna mtu akikupenda basi huwa anaanza kujiintroduce kwa kushow care kisha mwisho wa siku atajitokeza na kukuomba muende wote lunch au evening tea.
Muda wote huo nilikuwa nakuta fresh flowers na kimessage kikinitakia siku na kazi njema, siku ingine nakuta piece of cake au biskuti au juice ilikuwa ni vitu vidogovidogo vya kutafuna. Nilikuwa nafungua na tunagawana na wenzangu pale ofcn kujiridhisha kama kina madhara kitudhuru wengi.
Sasa bana jana ile nafika asubuhi secret lover akaniwekea fresh flowers na message kuwa anaomba tutoke lunch atakuja kunipick saa saba mchana. Ilipofika saa saba akaja loohhh!!! nilishindwa kunyanyuka kwa dakika kama 3 hivi naduwaa..........!!! Kumbe ni kaka mmoja hivi sikuamini hata akaniomba twende lunch, nikamwambia naomba dakika tano anisubiri nje akasema hapana nakusubiri hapahapa. Nilitaka nipige simu ila nikaghairi nikanyanyuka tukaenda watu wengine ofisini kila mtu yuko busy. Tulipofika nje akanifungulia mlango kwenye gari yake tukaenda lunch and within the lunch tukaongea meeengi ila aliloniambia ''TANGU UMERIPOTI HAPA OFISINI NILIKUPENDA NAKUFANANISHA SANA NA DADA YANGU TULIZALIWA MAPACHA NA YEYE ALIOLEWA HUKO RUSSIA ILA HAJARUDI TANZANIA TANGU AENDE HUKO WALA MAWASILIANO HAYAPO TENA. NILIPOKUONA NILIFURAHI KUWA MUNGU KANILETEA PACHA WANGU NIKASIKIA KUKUPENDA KAMA PACHA MWENZANGU HIVYO NAOMBA UWE PACHA WANGU TAFADHALI.''
Nilitabasamu nikamwambia pole kuhusu dada yako hope siku moja atarudi nyumbani kuwasalimu alinionesha passport picha ya dada yake kweli tulifanana hasa tabasamu nami nikamjibu usikute na mie ni dada yako wa damu tunashea baba huwezi jua labda baba yako alipata kufahamiana na mama yangu miaka hiyo. Nikamwambia hivyo mie ni dada yako uwe na amani, akafurahi akanikumbatia tukarudi ofcn.
Secret lover huyu kaniacha na maswali kichwani............................... anaweza kuwa kaka yangu kweli lakini ntaanzaje kumuuliza mama?
Nimeshare na nyie maana kimenikaa kooni siwezi mwambia mtu yeyote, ukiona nimekupotezea muda kusoma ulichoandika nipotezee kwangu mie nimerelease moyo wangu na sasa naweza endelea na kazi.
Always
Mkunde Originale.


Hivi hiyo office yenu haina watu wazima kidogo? na kama wapo na wenyewe lazima akija mgeni wanafanya hivyo? Mh hata wazungu hwako hivyo maofisini ni hapo kwenu tu.
 
Duh!...hii ni full tamthilia ya wafilipino...
advance ofisi gani ambayo haina maadili...eti mtu akikupenda anajientroduce kwa kushow macare....is it applicable hata kwa walio ndoani au ni kwa waseja pekee?
(only ts allowed kama ni moja ya majukumu yenu ya kazi vinginevyo?????????)...hiyo uliyotuonesha hapo sio sharing iz caring among co-workers imeenda maili nyingi zaidi na ofisi inayoruhusu mambo hayo haiwezi kuitwa advanced ofisi....
Ts either tamthilia au mtongozo umeupamba sana ili kuupa uhalali.....ukweli unaujua mwenyewe.

It was a lunch and I did not see anything in my mind than wondering how am I resembling a person I do not know ....
 
Mungu na anisaidie ila sikuandika yote yaliyotokea kufupisha story the mkaka anaweza kuwa amenizimikia ila mie walaaah yuko tofauti na type nnazopendaga mimi
Ahaa kwahyo kama ingetokea huyo kaka bandia ni type unayopendaga wew basi angejilia mzgo bila tatzo...basi sawa huyo anaweza akawa hayupo type yako ila atatokea tu type yako!By the way naomba direction ya hyo office nam nilete barua ya maombi
Smile umeiona hii lakn?
 
mkunde my dear usipende kuintatein kila kitu maishani! wewe ni mke wa mtu una mume na mtoto..haya maisha ya matongozo ulishatoka huko..labda uniambie kitu upo tayari kumdate mtu! wanaume ni watu wa ajabu huyo mbaba hana adabu hata tano...mke wa mtu unaweza kumfanyia huo udaku kweli ooh my sister my sister kama ana dada aliepotea akatoe tangazo kipindi cha bango tbc one1! pls kimbia maisha ni haya haya atakumega hapo atatangaza ofisi nzima ..yatafika kwa mumeo na jamaaa utabaki alone hujui pa kutokea![/QUOTE
Smile nimekupenda bure vile hauko mvivu kufikiria naomba uwe rafki yangu khaa..
 
Back
Top Bottom