Secret lover huyu mmhh!!

Secret lover huyu mmhh!!

Duh!...hii ni full tamthilia ya wafilipino...
advance ofisi gani ambayo haina maadili...eti mtu akikupenda anajientroduce kwa kushow macare....is it applicable hata kwa walio ndoani au ni kwa waseja pekee?
(only ts allowed kama ni moja ya majukumu yenu ya kazi vinginevyo?????????)...hiyo uliyotuonesha hapo sio sharing iz caring among co-workers imeenda maili nyingi zaidi na ofisi inayoruhusu mambo hayo haiwezi kuitwa advanced ofisi....
Ts either tamthilia au mtongozo umeupamba sana ili kuupa uhalali.....ukweli unaujua mwenyewe.
halafu mke wa mtu! hiyo ofice inaitaji mabachelors tu mi naona
 
Hizo swagger zake.....eti umefanana na dada yke lol???labda na hv umeoneshwa picha ukajiona kama ww basi umeingiwa na imani hyo........wanaume wana mbinu ukae ukijua!!!

I know my dear ni kweli the passport size si yangu but we look alike na hiyo passport size sidhani kama atakuwa amefanya manuva hapo kwenye picha. Nachokodolea macho tuu nisidondokee kwenye hiyo mitego aliyoweka ambayo mie sikuitizama sana nilishangazwa na jinsi nilivofanana na picha ya huyo dada yake ndo kinachonifanya nizidi kushangaa, japo sitamani kukutana na familia yao kujua undani wao. I'll just let it go.
 
I know that am married and I have a kid at home. What am keen of is to make sure that I dont fall between the trap, I understand ur worries mamie
mkunde my dear usipende kuintatein kila kitu maishani! wewe ni mke wa mtu una mume na mtoto..haya maisha ya matongozo ulishatoka huko..labda uniambie kitu upo tayari kumdate mtu! wanaume ni watu wa ajabu huyo mbaba hana adabu hata tano...mke wa mtu unaweza kumfanyia huo udaku kweli ooh my sister my sister kama ana dada aliepotea akatoe tangazo kipindi cha bango tbc one1! pls kimbia maisha ni haya haya atakumega hapo atatangaza ofisi nzima ..yatafika kwa mumeo na jamaaa utabaki alone hujui pa kutokea!
 
yeah! kaka na dada katika jina la bwana, mwaweza kuishi hivyo na mengine yakafuata baadae!

Mungu na anisaidie ila sikuandika yote yaliyotokea kufupisha story the mkaka anaweza kuwa amenizimikia ila mie walaaah yuko tofauti na type nnazopendaga mimi
 
Mkunde original uko peace sana na mimi nitakuletea mkate usimaind halafu!!
 
I know my dear ni kweli the passport size si yangu but we look alike na hiyo passport size sidhani kama atakuwa amefanya manuva hapo kwenye picha. Nachokodolea macho tuu nisidondokee kwenye hiyo mitego aliyoweka ambayo mie sikuitizama sana nilishangazwa na jinsi nilivofanana na picha ya huyo dada yake ndo kinachonifanya nizidi kushangaa, japo sitamani kukutana na familia yao kujua undani wao. I'll just let it go.

Hana lolote huyo ma dear......huenda yeye ndo kitombi cha hyo ofc na amewagonga wengi.Sasa wanataka na ww utumbukie kwenye aibu hiyo.....mwambie akuheshimu kama dada yake aliyepotea that's all
 
mkunde my dear usipende kuintatein kila kitu maishani! wewe ni mke wa mtu una mume na mtoto..haya maisha ya matongozo ulishatoka huko..labda uniambie kitu upo tayari kumdate mtu! wanaume ni watu wa ajabu huyo mbaba hana adabu hata tano...mke wa mtu unaweza kumfanyia huo udaku kweli ooh my sister my sister kama ana dada aliepotea akatoe tangazo kipindi cha bango tbc one1! pls kimbia maisha ni haya haya atakumega hapo atatangaza ofisi nzima ..yatafika kwa mumeo na jamaaa utabaki alone hujui pa kutokea!


Smile nimeupenda ujumbe wako.......

Ila Mkunde, sidhani kama yupo upande wako,

She has already moved some extra miles......lol...
 
Hana lolote huyo ma dear......huenda yeye ndo kitombi cha hyo ofc na amewagonga wengi.Sasa wanataka na ww utumbukie kwenye aibu hiyo.....mwambie akuheshimu kama dada yake aliyepotea that's all


Mmhh....mnavyopeana ushauri kama kweli vile lol..

kumbe......siri mwazijua wenyewe mkiwa kwenye mafaragha yenu....
 
na iwe ivyo kama asemavyo ! na huwa inawezekana ni wewe tu kuwa makini na kutomwekea mazingira ya kukupenda kimapenzi.......

Amina, sijamuwekea mazingira hata ya kama lengo lake ni hilo kakwama maana hata hiyo gia ya kutongozea hadi kwenda kutafuta picha inayofanana na mie kafanya kazi ngumu na atashaa ntakavo muachia manyoya
 
Dada yake wa hadithini kwi kwi kwi kwi in brackets isomeke "ex mupenzi"



Mpaka hapo atakapoamua kubadili gia,kwa sasa tuendelee tu kuamini kuwa amemfananisha na dada yake aliyetokomea!!
 
Mkunde Original,

Acha fix bana we bishost.......

wewe umetongozwa na huyo mkaka,

sema unatuletea swaga zako tu hapa.....

kama vipi, we msikilize tu....ndo mapito yenyewe hayo!

Hapana kama kutongoza ndo huku basi anaogopa kukataliwa maana sio type yangu huyu hana hata kimoja ninachokizimikia so mawazo yangu hayawezi kwenda kwenye dushee yake hata, nishamsikiliza la mie kufanana na dada yake nothing more.
Siwezi fanya fix mie kwa ajili gani nikiingia humu ujue nimekabwa koo na hii habari nilitamani kumsimulia mtu ila muda wote nimeiweka rohoni sasa baada ya lunch jana nikaona niilete hapa ili nirelease moyo, now niko saafii hata kumfikiria simfikirii mapito haya hayana mpango kama kunitongoza si angesema direct kama kumkatalia namkatalia tuu sasa kwa kufanya hivi anafikiri ndo atanipata, hollaa
 
mhhhh mtu ashakolea hapo,wewe usishangae kutongozwa unashangaa undugu?kweli hii imekaa sawa wachambuzi wenzangu?au haya tunayoletewa hapa ni manyoyaa...kuku kashaliwa......................!!
Ehhh..... back tu Mkunde original swali muhimu vipi umeshamkubalia au ndo unamfikiria??

Siwezi kukuzuia unachowaza ila the truth huyo mkaka mie hata sijamzimikia na wala hajaniingia akilini kusema nimfikirie, mie sikuona mtongozo hapo nilishangazwa kufanana na hiyo picha
 
Back
Top Bottom