wataztoa ndan ya wiki inayoanza kesho tarehe 07 coz haitofika mwez wa 10 bila kwenda shule. Mwaka jana walitolewa tarehe 30 mwez wa 8 then shule wakawasili tarehe 9/9 xo nlazma watoe na kwa upande wa afya inajulikana kuwa chuo ni kuanzia tarehe 05/10(private) na 16/10(gment) xo post watatoa kuanzia tarehe 25/09