Jamani wakuu nlimaliza form 6 mwaka jana and i had physics C,chemistry B,and bilogy C,mwaka jana nliomba kupitia tcu nkakosa nkafanya 2nd application nkapata bt badae application yangu ikafutwa na profile ilionesha kama ilivyokuwa mwanzo,nkavumilia niombe mwaka huu pia nimekosa imenbd niombe mara ya pili bt nimejaribu kuomba bachelor of nursing Kcmc pia imeshndkana kuwa cjameet minimum requirements. Naombeni ushauri kwa sabu nimejikuta namwaga machozi tu akili yangu haijakaa sawa.