Second Round Application TCU

Second Round Application TCU

Wadau Heshima kwenu wote. TCU wameachia second round application rasmi leo kwa Tangazo hili hapa http://www.tcu.go.tz/images/pdf/2nd round application 2015.pdf pakua hilo tangazo uweze kuona maekezo zaidi.

kama umekosa round ya kwanza ujue umekosa kutokana na ushindani hivo unatakiwa kujipanga upya kwa kuomba upya.

Pia unaweza kudownload list ya majina ya waliokosa hapa.
1. Group (A-H) - http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group (A_H).pdf
2. Group (I- L) - http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group (I_L).pdf
3. Group (N- M)- http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Group (M_N).pdf
5. Group (O- Z)- http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Gruop (O_Z).pdf

Kwa wale wahanga wa kozi za afya vyuo vilivobakia ni
1. KIU - Medicine, Laboratory na Pharmacy
2. St. Joseph College of Health Science - Doctor of Medicine
3. KCMC- Bachelor of Science in Nursing
4. IMTU - Bachelor of Medicine adn Surgery.


Angalizo. hizi nafasi ni FIRST COME FIRST SAVED. KAMA TANGAZO LA TCU LILIVOOONESHA.

NAWATAKIENI USOMAJI MWEMA :bange:


wadau mbona cas inakataa tena? msaada plz
 
hivi kamanda km umekosa unarusiwa kuomba vyuo vile vile
 
wakuu tuwe waelewa kidogo ivi st joseph zote zina matatizo?uyo jamaa anamaanisha st joseph college of health science,tukiwa tunachangia tuchangie kwa oja wakuu,naona uzi mwingi wakiongelea st joseph wanatolea mfano ya arusha,tuambieni je st joseph zote ni matatizo pia toa oja.

Hiki ni kipya alafu kipo eneo ambalo kama kikinuka ni simple kutatuliwa migogoro. . eneo ni boko dovya njia panda ya Mbweni barabara ya Bagamoyo ni chuo kipya.
 
Acha kupoteza watu kwa ujinga wako wakuto kufatilia mambo,nani asiyejua st.joseph campus ya arusha kuna migogoro ya accreditation yake?..i hate much knows.

Tunajua matatizo ya Arusha but hili tawi lao kila Mtu amelikubali. Liko Boko na ni Jipya
 
Back
Top Bottom