295745330 ni namb ya ofs ilitumika ku sms, then nili pata sms nyngne kutoka 0653297257 na bado nilipigiwa cm kwa namba 0684995056.....ila namba zipo nying sio hiz tu
hata mie wamenitumia meseji tu sasa cjui utaratibu wa namba utakuwaje maana kuna mshkaji wangu walimpigia wakampa na namba kabisa kama ilivyokuwa 1st interview.
hata mie wamenitumia meseji tu sasa cjui utaratibu wa namba utakuwaje maana kuna mshkaji wangu walimpigia wakampa na namba kabisa kama ilivyokuwa 1st interview.
Interview ile ya kwanza ilikuwa hivyo hivyo hawakuntumia no., cha msingi ni kuwahi siku hiyo na kuwafata wahucka huwa wanatoa hizo no. siku ya interview kwa wale ambao hawakutumiwa, kama walivyofanya ile ya kwanza
Interview ile ya kwanza ilikuwa hivyo hivyo hawakuntumia no., cha msingi ni kuwahi siku hiyo na kuwafata wahucka huwa wanatoa hizo no. siku ya interview kwa wale ambao hawakutumiwa, kama walivyofanya ile ya kwanza
Utakiwi kufika siku ya tukio unatakiwa hata leo pale HQ ili ujue kinachojiri mkuu hope siku ya tukio watakuwa bize sana kama vp twendezetu kuna mtu amenipa angalizo hilo
Utakiwi kufika siku ya tukio unatakiwa hata leo pale HQ ili ujue kinachojiri mkuu hope siku ya tukio watakuwa bize sana kama vp twendezetu kuna mtu amenipa angalizo hilo