Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,063
- 3,629
- Thread starter
- #21
Yaani maisha murua....
nashukuru mkuu
Yaani maisha murua....
*#*#4636#*#* does magic.....full WCDMA
naomba kuelekezwa hii kitu natumia tecno M5 hizo namba unaziandika wapi? maana kwangu nikiz USSD inaniletea information mbalimbali za simu
Techno ni kampuni kutoka nchi gani?
Wakuu mie natumia techno M 3 naomba kujua hiyo screen ni nini inafanya kazi gani?
*#*#4636#*#* does magic.....full WCDMA
naomba kuelekezwa hii kitu natumia tecno M5 hizo namba unaziandika wapi? maana kwangu nikiz USSD inaniletea information mbalimbali za simu
Wakuu mie natumia techno M 3 naomba kujua hiyo screen ni nini inafanya kazi gani?
Hapo Mdau acha nikurekebishe kidogo mi natumia p5 nimetafuta hyo app ya kuread cpu nimepata na inapiga kazi na imenionyesha manufacture so hebu chunguza upya
jamani iligoma kwa M3 Yangu.... ni nini mbaya?
Inasemaje?? Imegoma vipi?
ina maana hata 3g haitakuwepo
nikiandika hizi code zinapotea kabla sijamaliza kuziandika