umefanyeje hiyo factory setting maana hiyo huwa haisumbui labda ksma kuna tatizo la hardware
nimefanya km ulivyo elekeza 2* cjafanikiwa, inavyo onekana cm card haiwi detected kwenye slot, sina hofu na hard ware coz tatizo limeanza baada ya kuchange setting za internet km ulivyo elekeza kwa kutumia code *#*#4636#*#*. matokeo yake baada ya kukaa CDMA imekaa uknown na haitaki kutoka, najuta kusoma hii thread