Say no to baby mama drama

Say no to baby mama drama

Hana adabu huyo auntie yangu, ndio maana nimemuacha.
Duuuu
Kweli hana adabu bora hata ulimuacha, shangazi yangu nawewe ulitoka nae wapi[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mapenzi shangazi, yaani acha tu!!!
Onaaa sasa anakutukania hadi watoto wako, au ulikuwa una mlea[emoji12] alipokosa pa kula baada ya kumuacha anaanziwga vita
 
Onaaa sasa anakutukania hadi watoto wako, au ulikuwa una mlea[emoji12] alipokosa pa kula baada ya kumuacha anaanziwga vita
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
[emoji23] [emoji23] Aunty sitaki uchokozi ujue!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] nangoja nikipishana nae nitamchimba mkwaraa mpk anichukie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmmh pole yako..kama hakuna ulichomtenda huyo dada hadi kufikia hayo alokua anakufanyi a bas atalipwa maana malipo ni haphapa dunia japo sometime wanaume wenyew ndo huwa mnatupa uchizi.
 
Ukipiga dry uwe tayari kwa kila kitu...msione watu tunaloweka tu mkaiga wenzenu tumeamua kujitoa muhanga

Si ndio hapo, we unaloweka kwa kicheche Kama faiza ally, yule demu aliyezaa na sugu unategemea nini,si majanga matupu
 
Asee izi sheria zinatakiwa ziwe zinaangalia kisababishi cha uvunjifu wa sheria sasa emagine mtu kama huyu akiua atakuwa ana kosa kweli.

ila mimi ndo nawapendaga sana hawa wa ivi, asee kwa shoo ambayo ningemwonyesha ni lazima angeenda kuusimulia ukoo mzima wa kina mama baby drama. maana ni lazima papuchi ningeondoka nayo ili akafanye umalaya na kibumbu tu
 
Sasa wewe inakuuma nini na ushasema huna mapenzi nae.....wewe Lea mwanao na yeye muache atafute atakaekuwa na feature nae
 
mkuu ngong'0 tunakusoma hapa na kukuhurumia sana kaka. Kweli kulenga si kufuma kaka ulilenga dushe lakini halikufuma pazuri kaka. Nenda piga maji ya mende uje utupe episode ya nne kaka
 
Back
Top Bottom