Say no to baby mama drama

Say no to baby mama drama

Kaka walikuua na matukio nini? Mbona ulipotea? Wanawake wa kiswahili mnawapendeaga nini? Viuno?
 
Mniwie radhi nilibadili ID naleta kilichoendelea. Inaendelea
 
Aibu sana...yani kusema mtu atowe mimba mnaonaga ni rahisi sana kama kujamba ee??
Ni rahisi sana kwa nchi kama china ya one child policy Ina teknolojia nzuri ya kutoa bila madhara kama unakunya vile yani


Bongo kidogo mtihani unaweza ondoka nayo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Muendelezo sehemu ya
"4"
Lakini kabla sijaendelea mbele niwarudishe nyuma kidogo. Ikimbukwe nilikuwa nikiishi naye tu bila la kula kitumbua, sababu kuu ni kuepuka kupewa mtoto mwingine na mama asiye haya Wala Soni.

Endelea.
Kule kulijijini wakaja mama, Mzee na Mzee mmoja jirani, huyu Mzee alikuwa kiongoz wa serikali, lakini amestaafu.
Sikujua haraka lengo na familia yangu kuja na wakifikia kwa Dada hapa mjini.

Wakati naelekea nyumbani Kwa mama wa mtoto wangu. Nikajua ghafla Sim iliita mfululizo kucheki kumbe sister, nikatafuta sehemu nisimame nimsikilize akanambia nisiende mwenyewe badala yake baba na mama wamekuja niwapeleke. Mzee Mimi huyoo nikageuza kishingo upande.

Pamoja na kwamba wamepatwa na msiba mama wa mtoto wangu hakwenda, alikuwa kwenye bata zake na hawakuona haja kumshirikisha. Jirani Yao mmoja akanipigia wakati nipo njian kunitaarifu kuwa wamerudi mama mzazi huyo Dem. Nikasimama nikasema nirudi au niende?

Nilirejea ghetto kulala nitulize muunkari na nipate na usingiz maana nilibwia bia Sana usiku wa kuamkia Jana.

Nikiwa nimelala nikajisemea huyu lazima nimfanyie umafia nione anatoka kwenda waoiyna anakula bata na nani. Nikailaza nilianshwa na simu ikiita bila kuacha. Kucheki rafiki yangu mmoja wa kitaani.

Jamaa alinipa maelezo au niite taarifa iliyomaliza maluweluwe yote ya usingiz. Alisema alimuona mama mtoto angu akiwa na jamaa flan fukwe bichi ya mikadi. Nikachomoka na haikuwa mbali na home. Kufika nikaona wanaogelea na Mimi na jamaa anguntukajifanya tunapiga mastori tukipata upepo. Ilikuwa mishale ya saa 11 jioni wakatoka ndani ya maji wakaingia kwenye Carina sprinter samahan kama Jina sio sahihi ila ilikuwa Karina na neno kama Hilo. Tukarejea kwenye gari ya jamaa angu balloon nyeusi,tukawafuata ukaribu ambao ulitosha kuongozana nao pasipo kupotezana. Ikiwa liza limeenea tulifika kisiwani Kwa wakazi wa kigamboni wataelewa hii sehemu walishuka na kuingia kwenye geti la nyumba Moja ambayo Ina Ina chini na juu. Wakapanda na ngaz wakiwa wamekumbatiana. Nikajisemea kumbe alikuwa na mshua ndio maana alidata.

Nikamwambia jamaa, ama akiamua aende au niende kwao Soweto nikamsubiri Ili nimpate Leo, na nilinunua kondom kabisa.

Jamaa akasema Leo atanipeleka nitapotaka.

Baada ya kama dakika 45 hao wakatoka na kmgafla ikatokea Ile gari, tulizima taa tunachek tu, Carina ikatokea na uelekeo wa feri lkn hawafika njia ya tiper. Kuna pub Moja wakaingia wakanywa na sisi tukatoka kwenye gar kuelekea mle pab. Dada alianza kunipiga akidai sikwenda kuwaona wazazi. Nikamdanganya nilichelewa kirudi kazini. Tukala bia mbili tatu za kizugia nikamwambia mshkaji Kwa sababu imefika saa tano basi huku na hizi ndio style zake. Cha kishangaza jamaa aliondoka mwenyewe akamuacha mama mtoto. Zimepitankama dakika 10 akanyanyuka akiyumba, nahisi ama hajala Kwa sabab mida wote tangu bichi na pale nyumbani hawajakaa dkk za kusema wamepata Chochote la, na pale pub walikuwa wanakunywa tu.

Muda si muda alitejea kutoka maliwato akaita boda, nikamwambia mshkaji hapa boda na sisi tuklisema tumfuate na gari tutamkosa, wewe njoo njianyetu na Mimi nikachukua boda nikaifukuzia ya mama mtoto wangu.

ITAENDELEA
 
Wakati naendelea kumfatilia tukafika sehemu kama njia ambayo haijanyooka vzr na Kuna kitu kama Bajaji inakuja lazima sisi tusubiri Ile Bajaji ipite kwanza ndio tufate sisi. Kile kitendo kulifanya tuikute Ile bodaboda ya mama mtoto wangu. Na katika subiri subiri Ile jamaa angu alinyoosha na akawa amfika makutano anasubiri Mimi sikamuita mama mtoto angu, alivyoniona akashangaa namimi nikajifanya nashangaa, tukawa tunaendelea na maongez mbali Kwa mbali ya bodaboda zetu.

Tunaingia kwenye njia kuu na tukasogea kidogo mbele Ili kukunja kushoto na Kwa sabab ndio uelekeo wa kwao na kwangu ilisema mwanzoni Kwa mama ake mama mtoto si mbali na ninapoish mie.

Nikasimama nikamwambia tupitie njia kuu, akashuka na jamaa angu alikuwa amepaki pembeni akasogeza gari tukaondoka Hadi getho. Akasema anataka alalehapohapo Hadi kesho.

Mzee nikashuka nikaingia ndani akakuta kabati na vyombo kana kwamba vina mng'ong'a Kwa sabab alikuwa ameviiba siku si nyingi. Kwa kuwa nilikuwa nimepata bia kiasi nilikiw yvema kichwani nikamkamata na kumla viwili kama salamu.

Akaenda kuoga,namimi nikaoga, wkt narudi kuoga niliona macho yakizidi kuwa makubwa Kwa mshangao nilikuwa naona mbele ya macho yangu.

Nitaendelea .....
 
Inaendelea

Nilikuwa nimejifunga taulo na mswaki mkononi majimaji sijafuta vizuri Lakini niliona kama natoka jasho, kitendo kilichokuwa kinaendelea Kwa huyu mama mtoto cha kuchukua condom na kuchukua sperm Kwa mkono wake niliona kama mbona naendelea na drama na huyu mwanamke??

Nilimuambia tu, usifanye hivyo kwani bado tunaendelea kucheza. Alikuwa amepanua miguu mithiri ya mtu anayepunguza vyele sehemu zake. Lkn huyu alikuwa anaziingiza ukeni Kwa mikono yake.

Ndg msomaji nilijikaza tu kuongea ongea lakini kichwani sikuwa sawa.
Nikawaza inamaana anataka apate mtoto tena? Mbona ishu haijapoa bado anakuja na hii ingine. Au yule jamaa tuliekuwa nae kule bichi Leo nindanga tu??

Nilivaa nikamaliza alikuwa amelewa nahisi alikuwa hajui anafanya nini. Nikajilaza nikiwa nawaza na asikuambie mtu ukiwa na mawazo asumani kichwa wazi hasimani ng'o. Mzee kitu imelala kabisa hata hisia zimeniishia.

Upande wa dada mkubwa alikuwa ameshawahadithia wazazi a to z na walishajipanga kuanzia polisi. Walichanganya masuala kama matatu, ushahudi wa record nilizimtumia, Hali na picha za mtoto akiwa na afya duni na dhoofu na wizi wa vitu ambapo baadhi ni TV ambayo dada alichukua akidai hii ataiiba na usiikute hata huko kwao. Sasa basi hivyo vyote vililenga kuwa ushahudi na dada aliishakwenda ustawi wa Jamii akitumia picha, audio juu ya mtoto na happy ililengwa kumchukua mtoto na kuidabisha familia ya mama mtoto.

Kazini kwangu mambo hayakuwa sawa kama ilivyokawaida. Na Kwa sababu niliishaanza tabia za ulevi na ufanisi ulipungua nikapotezea nafasi nikawekwa chini ya jamaa zangu waliokuwa wananitegemea Mimi Kwa hiyo wakawa mabosi wangu. Kwa kweli roho ilikuwa inaniuma Sana ila Sasa nilikuwa najikaza kiume. Bosi nilikuwa namuona nuksi na Kwa kweli Hadi Sasa Sina salama nae na simu nimefuta Kwa sabab Sina mawasiliano ya Moja Kwa moja na bosi mkubwa.

Nilipoteza siha nzuri na kwa kweli baby mama sio watu. Awali kabla ya hili tukio nilikuwa natoka na office mate ingawa hatukuwa karib yeye alikuwa branch ingine, Kuna wakati nikahisi labda nuksi. Haiwezekani nipate mkosi huu wa kupata kiumbe na mwanamke hatari namna hii.

Basi bana nilijikaza Hadi madakika yakapita mwanamke mpaka spam ukeni alikuwa ameshapotelea usingizini.


Wakuu hii Hadith tuihamishie Whatsapp.

ITAENDELEA what app.

Waliotayar niambie nakupatia link DM
 
Mpaka hapa nilipofikia kusoma, mleta mada uko na ufala sana. Nyinyi ndio wale mlioanzia mapenzi ukubwani. Lazima yawagaragaze sana!

Mwanamke mwizi, malaya, anaemnyanyasa mwanao, aliesababisha wazazi wako wasafiri kuja kukunusuru nae, bado unalala nae? Tena akiwa ametoka kukazwa na jamaa jingine?

Mimi nasema acha akuue tu. Maana yeye ni mjinga, na wewe ni tahira. Excuse my French!
 
Inaendelea

Nilikuwa nimejifunga taulo na mswaki mkononi majimaji sijafuta vizuri Lakini niliona kama natoka jasho, kitendo kilichokuwa kinaendelea Kwa huyu mama mtoto cha kuchukua condom na kuchukua sperm Kwa mkono wake niliona kama mbona naendelea na drama na huyu mwanamke??

Nilimuambia tu, usifanye hivyo kwani bado tunaendelea kucheza. Alikuwa amepanua miguu mithiri ya mtu anayepunguza vyele sehemu zake. Lkn huyu alikuwa anaziingiza ukeni Kwa mikono yake.

Ndg msomaji nilijikaza tu kuongea ongea lakini kichwani sikuwa sawa.
Nikawaza inamaana anataka apate mtoto tena? Mbona ishu haijapoa bado anakuja na hii ingine. Au yule jamaa tuliekuwa nae kule bichi Leo nindanga tu??

Nilivaa nikamaliza alikuwa amelewa nahisi alikuwa hajui anafanya nini. Nikajilaza nikiwa nawaza na asikuambie mtu ukiwa na mawazo asumani kichwa wazi hasimani ng'o. Mzee kitu imelala kabisa hata hisia zimeniishia.

Upande wa dada mkubwa alikuwa ameshawahadithia wazazi a to z na walishajipanga kuanzia polisi. Walichanganya masuala kama matatu, ushahudi wa record nilizimtumia, Hali na picha za mtoto akiwa na afya duni na dhoofu na wizi wa vitu ambapo baadhi ni TV ambayo dada alichukua akidai hii ataiiba na usiikute hata huko kwao. Sasa basi hivyo vyote vililenga kuwa ushahudi na dada aliishakwenda ustawi wa Jamii akitumia picha, audio juu ya mtoto na happy ililengwa kumchukua mtoto na kuidabisha familia ya mama mtoto.

Kazini kwangu mambo hayakuwa sawa kama ilivyokawaida. Na Kwa sababu niliishaanza tabia za ulevi na ufanisi ulipungua nikapotezea nafasi nikawekwa chini ya jamaa zangu waliokuwa wananitegemea Mimi Kwa hiyo wakawa mabosi wangu. Kwa kweli roho ilikuwa inaniuma Sana ila Sasa nilikuwa najikaza kiume. Bosi nilikuwa namuona nuksi na Kwa kweli Hadi Sasa Sina salama nae na simu nimefuta Kwa sabab Sina mawasiliano ya Moja Kwa moja na bosi mkubwa.

Nilipoteza siha nzuri na kwa kweli baby mama sio watu. Awali kabla ya hili tukio nilikuwa natoka na office mate ingawa hatukuwa karib yeye alikuwa branch ingine, Kuna wakati nikahisi labda nuksi. Haiwezekani nipate mkosi huu wa kupata kiumbe na mwanamke hatari namna hii.

Basi bana nilijikaza Hadi madakika yakapita mwanamke mpaka spam ukeni alikuwa ameshapotelea usingizini.


Wakuu hii Hadith tuihamishie Whatsapp.

ITAENDELEA what app.

Waliotayar niambie nakupatia link DM
kumbe ni hadithi? Watsapp tena? Nilijua tu kuna kitu hakiko sawa!
 
Mpaka hapa nilipofikia kusoma, mleta mada uko na ufala sana. Nyinyi ndio wale mlioanzia mapenzi ukubwani. Lazima yawagaragaze sana!

Mwanamke mwizi, malaya, anaemnyanyasa mwanao, aliesababisha wazazi wako wasafiri kuja kukunusuru nae, bado unalala nae? Tena akiwa ametoka kukazwa na jamaa jingine?

Mimi nasema acha akuue tu. Maana yeye ni mjinga, na wewe ni tahira. Excuse my French!
Mkuu Hujafa hujaumbika stori Ina majanga mbele huko acha kabisa
 
Inaendelea

Nilikuwa nimejifunga taulo na mswaki mkononi majimaji sijafuta vizuri Lakini niliona kama natoka jasho, kitendo kilichokuwa kinaendelea Kwa huyu mama mtoto cha kuchukua condom na kuchukua sperm Kwa mkono wake niliona kama mbona naendelea na drama na huyu mwanamke??

Nilimuambia tu, usifanye hivyo kwani bado tunaendelea kucheza. Alikuwa amepanua miguu mithiri ya mtu anayepunguza vyele sehemu zake. Lkn huyu alikuwa anaziingiza ukeni Kwa mikono yake.

Ndg msomaji nilijikaza tu kuongea ongea lakini kichwani sikuwa sawa.
Nikawaza inamaana anataka apate mtoto tena? Mbona ishu haijapoa bado anakuja na hii ingine. Au yule jamaa tuliekuwa nae kule bichi Leo nindanga tu??

Nilivaa nikamaliza alikuwa amelewa nahisi alikuwa hajui anafanya nini. Nikajilaza nikiwa nawaza na asikuambie mtu ukiwa na mawazo asumani kichwa wazi hasimani ng'o. Mzee kitu imelala kabisa hata hisia zimeniishia.

Upande wa dada mkubwa alikuwa ameshawahadithia wazazi a to z na walishajipanga kuanzia polisi. Walichanganya masuala kama matatu, ushahudi wa record nilizimtumia, Hali na picha za mtoto akiwa na afya duni na dhoofu na wizi wa vitu ambapo baadhi ni TV ambayo dada alichukua akidai hii ataiiba na usiikute hata huko kwao. Sasa basi hivyo vyote vililenga kuwa ushahudi na dada aliishakwenda ustawi wa Jamii akitumia picha, audio juu ya mtoto na happy ililengwa kumchukua mtoto na kuidabisha familia ya mama mtoto.

Kazini kwangu mambo hayakuwa sawa kama ilivyokawaida. Na Kwa sababu niliishaanza tabia za ulevi na ufanisi ulipungua nikapotezea nafasi nikawekwa chini ya jamaa zangu waliokuwa wananitegemea Mimi Kwa hiyo wakawa mabosi wangu. Kwa kweli roho ilikuwa inaniuma Sana ila Sasa nilikuwa najikaza kiume. Bosi nilikuwa namuona nuksi na Kwa kweli Hadi Sasa Sina salama nae na simu nimefuta Kwa sabab Sina mawasiliano ya Moja Kwa moja na bosi mkubwa.

Nilipoteza siha nzuri na kwa kweli baby mama sio watu. Awali kabla ya hili tukio nilikuwa natoka na office mate ingawa hatukuwa karib yeye alikuwa branch ingine, Kuna wakati nikahisi labda nuksi. Haiwezekani nipate mkosi huu wa kupata kiumbe na mwanamke hatari namna hii.

Basi bana nilijikaza Hadi madakika yakapita mwanamke mpaka spam ukeni alikuwa ameshapotelea usingizini.


Wakuu hii Hadith tuihamishie Whatsapp.

ITAENDELEA what app.

Waliotayar niambie nakupatia link DM
😂😂😂we una matatizo ya akili, yaani watu wakufuate whatsap kisa stori ambayo haina maana yoyote ile na haifundishi kitu zaidi ya ujinga tu.
 
Back
Top Bottom