Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,145
- 27,119
mkuuuu kwanza nakufaham huna gari jitahidi sana cheza kamali vzr ipo siku utashinda ununue crown pole sana
mkuuuu kwanza nakufaham huna gari jitahidi sana cheza kamali vzr ipo siku utashinda ununue crown pole sana
umejua kufanya nicheke siku ya leo mleta mada anasisitiza sana kununua gari ila siyo kutoka na gari,😀😀😀😀😀😀😀Mbona katika msisitizo wako ni kama unasisitiza watu wanunue magari badala ya kusisitiza wanapotoka watoke na magari yao...... Ili wakikutana na manzi mkali wasijeaibika kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza ulimbukeni