Sasa kama gari analo shida yake nini sasa
Ifikie muda jamani tuenjoy mapenzi na sio vitu alivyonavyo mtu au hana
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUwanawake akili zao wanazijua wenyewe tu mkuu
teh teh teh......Hongera kwa kushika Shika kiuno
Demu hata hakuwa mwenyeji club hiyo..halafu hana njaa mzee katika story alisema yeye ni mfanyakazi mahali fulani siyo vizuri kupataja hapaUshauri wa kufanya kazi kwa bidii ni mzuri. Ila kwa huyo demu inaonekana alitake advantage kwakua humfahamu. Na huenda aliwakataa hao ambao uliona amekataa kucheza nao huenda anafahamiana nao.
Baada ya kucheza ulinunua vinywaji na chakula, hicho ndicho alichokitaka kutoka kwako.
Hao tunaita mapaka ya bar
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa na huo ulikua mchongo, rafiki zake mdo walikua watoa taarifa muhimu za uelekeo wenu kwa majamaa pale kati. Amini na ufurahi kwa kila jambo linapotokea kwa muda husika, mfano ulifurahi sana kupata buridani na hao warembo ila ukachukia baada ya kumkosa hilo nalo la kushukuru kw mana siku ilipita salama. Sasa fikiria ungeamka na majanga au kufariki kabisa????!!!!!!! Muhimu kua na uhakika w chombo binafsi cha usafiri kwa matumizi yetu ya kila siku lkn sio sababu ya kupata hadhi ya kuweza kuchukulia wanawake. Mind yourself, life's full of suprises.Mmmh shukuru mungu ulikiacha kigari chako nyumbani, hiyo gari ingepigwa siku hiyo, huyo demu ni mwizi wa magari 😂😂😂
Kama point vile....Mmmh shukuru mungu ulikiacha kigari chako nyumbani, hiyo gari ingepigwa siku hiyo, huyo demu ni mwizi wa magari
Tena ndio mbaya zaid...unapelekaje malaya usiyemjua kwako we fala...Eti
eehhh?kivipi sasa? Wakati tulikuwa tunaenda kwangu?
Ushauri wa kufanya kazi kwa bidii ni mzuri. Ila kwa huyo demu inaonekana alitake advantage kwakua humfahamu. Na huenda aliwakataa hao ambao uliona amekataa kucheza nao huenda anafahamiana nao.
Baada ya kucheza ulinunua vinywaji na chakula, hicho ndicho alichokitaka kutoka kwako.
Hao tunaita mapaka ya bar
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjita kwenye ubora wako,WANAZUA SABABU USIENDE KUMLA KATIKA HATUA ZA MWISHO,HUKU WAKIKUACHA HUNA KITU HATA UKISEMA UANZE PROCESS ZA KUTAFUTA MANZI NYINGINE HUWEZI MAANA PESA INAKUWA IMEKATA KWA MALAYA MJANJA ANAYEPENDA KULA VYA WATU AFU ANAZUA VISABABU VISIVYOKUWA NA MAANA KISA TU USIMGUSE,HAWA WA STYLE HII NIMESHAWAPA VITASA SANA TENA SANA MJINI NA KOTE NIPITAPO.WANAPENDA VITONGA UTAFIKIRI WANATAFUNA PESA ZA BABA ZAO NA MAMA ZAO.
Mjita kwenye ubora wako,