Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Sawa nenda, nitaudanganya moyo wangu utatulia

Mhhhh!!! Sasa kuna kupenda vizuri MJ1!? au huko ndio kufanya usanii kama unapenda kumbe walaaa!!! Ninachoamini mimi ukiamua kupenda basi unapenda kweli kweli vinginevyo ni usanii tu na kupotezeana muda.

Haya maumivu ya mapenzi saa nyingine unatamani tu MUNGU angekuwa anatunong'oneza kuwa "Hapa ninapokupitisha ni twisheni tu, so usitegemee saaaaana" ...maumivu yasingekuwapo. But mimi nilijifunza kitu kimoja ingawa kwa maumivu makali ...kuwa kila jambo lina sababu. Mshukuru MUNGU utashangaa atakavyokuvusha salama. Mimi nilishaambiwaga kuwa "Unapenda vibaya wewe kiasi kwamba watu wanawezakuku-take for granted na kutake-advantage kwako" ....halafu atafanya just that....nilijilaumu kwa kuwa he was trying to be frank with my feelings kwa kuniambia ukweli kuwa hata yeye anapita tu, nisijiachie kihiiivyo but sikumwelewa............
 
Mhhhh!!! Sasa kuna kupenda vizuri MJ1!? au huko ndio kufanya usanii kama unapenda kumbe walaaa!!! Ninachoamini mimi ukiamua kupenda basi unapenda kweli kweli vinginevyo ni usanii tu na kupotezeana muda.
Huweziamini shemeji hata mie nilikuwa nina mtizamo huo... kuwa ukipenda umependa.... mia kwa mia kumbe bwana sivyo. Hata uwe umependa vipi, as long as huwezisoma yaliyomo moyoni mwa mwenzi wako (ambaye hamjakufunga pingu za maisha) kaa chonjo. Nilimuelewa alivyonambia unapenda vibaya...... kweli nilijiachia. But alinifunza nikafunzika nadhani kama asingeni-warn mapema nisingeweza kusurvive aisee.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa hiyo siku hizi umeachana na "kupenda vibaya?"

Huweziamini shemeji hata mie nilikuwa nina mtizamo huo... kuwa ukipenda umependa.... mia kwa mia kumbe bwana sivyo. Hata uwe umependa vipi, as long as huwezisoma yaliyomo moyoni mwa mwenzi wako (ambaye hamjakufunga pingu za maisha) kaa chonjo. Nilimuelewa alivyonambia unapenda vibaya...... kweli nilijiachia. But alinifunza nikafunzika nadhani kama asingeni-warn mapema nisingeweza kusurvive aisee.
 
Kwa hiyo siku hizi umeachana na "kupenda vibaya?"

Hahahah Shem unanichimba hahah............. nafanyia kazi ushauri nlopewa, my Soulmate ndo atakayeweza kuthibitisha kama nimeacha au bado.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahahaha lol!! wala sikuchimbi 🙂🙂🙂 kama mtu mwenyewe wa kukujibia ni soulmate wako basi nina uhakika bado unapenda vibaya lol!!!!

Hahahah Shem unanichimba hahah............. nafanyia kazi ushauri nlopewa, my Soulmate ndo atakayeweza kuthibitisha kama nimeacha au bado.
 
hahahahaha lol!! wala sikuchimbi 🙂🙂🙂 kama mtu mwenyewe wa kukujibia ni soulmate wako basi nina uhakika bado unapenda vibaya lol!!!!
Halafu wewe nikajua umebatizwa/umesilimishwa jina jipya humu, make watu hawachelewi kujibatiza upya humu. Where have ya been dude!.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahahaha lol!! wala sikuchimbi 🙂🙂🙂 kama mtu mwenyewe wa kukujibia ni soulmate wako basi nina uhakika bado unapenda vibaya lol!!!!

Hahahah we mbaya shem.... yaani unataka kusemaje? hahahahah kuwa akiwa ni Soulmate ndo napenda vibaya hahahah...mwone vile!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nakumbuka,nishakuwa innocent nikaumizwa vile vile,..am trying a different life nako naona hali tete,sijui nilekee wapi,am so hopeless ryt now

Just be urself,if he loves he'll accept u for what ur and not for what u pretend to be,i belive the one for u is out there somewhere waiting,just thanks that he has left u kwani he never deserve u,amekuepusha na mengi amekupa test for the road to ur self discovery
A6
 
Kwi kwi kwi kwi kwi hahahahahah lol!!!! Nikiamua hivyo basi jina lenyewe litakuwa Yegooooo 🙂🙂🙂.....Busy with my daily obligations as a human being 🙂🙂

Halafu wewe nikajua umebatizwa/umesilimishwa jina jipya humu, make watu hawachelewi kujibatiza upya humu. Where have ya been dude!.
 
Shem ukisikia watu wamefikia mpaka kuitana soulmate basi ujue hao wameoza ile mbaya...Sasa nikimuuliza Brother wangu hili swali, "Eti Bro yule Shem wangu MJ1 kwenye penzi lake anapenda vibaya au vizuri? Najua unajua fika jibu la Soulmate wako litakuwa lipi. 🙂🙂

Hahahah we mbaya shem.... yaani unataka kusemaje? hahahahah kuwa akiwa ni Soulmate ndo napenda vibaya hahahah...mwone vile!
 
Pole sana huwezi jua Mungu amekuepusha na nini. Usijilaumu mrudie Mungu wako na umuombe msamaha kwa kutoisikia sauti iliyokua inakuonya juu ya mtu huyo. Pia usiache kumuomba Mungu akupe aliye mwema Leo hii huwezi kujua umeepushwa na nini sana sana utajilaumu tu na kujihesabia makosa ili tu uendelee kuumia.

Kumbuka ni vigumu sana kumwambia mtu mapungufu yake kwani walio wengi hawako tayari kuyakubali so usilaumu kwanini hawakuambii sababu ya kukuacha huenda ungeambiwa usingekubali/hautakubali. Jaribu kujichunguza je unapokwazika huwa unabehave vipi au una argue namna gani ie kuna mengi ya kuangalia ukiona uko poa basi msubiri Mungu atakupa kwa wakati.
 
wanaume tuliowengi hatuhitaji dharau, mwanamke ambaye akimbiwa ukweli hakubali,kiburi,ambaye ana mashoga ambao hawajiheshimu, na ambaye hajali mda, ambaye hajui leo mwenzangu hayupo sawa ni mfariji so kamabina vitabia hivi jua utaachwa kola cku kimya.
 
Shem ukisikia watu wamefikia mpaka kuitana soulmate basi ujue hao wameoza ile mbaya...Sasa nikimuuliza Brother wangu hili swali, "Eti Bro yule Shem wangu MJ1 kwenye penzi lake anapenda vibaya au vizuri? Najua unajua fika jibu la Soulmate wako litakuwa lipi. 🙂🙂

Hahahah.......haya bwana...... Mtetezi wangu hayupo hapa na mie nsivyojua kubishana mh......nsijeropoka ya kuropokwa afu nkapewa adhabu na Babu DC bure.
 
Pole sana huwezi jua Mungu amekuepusha na nini. Usijilaumu mrudie Mungu wako na umuombe msamaha kwa kutoisikia sauti iliyokua inakuonya juu ya mtu huyo. Pia usiache kumuomba Mungu akupe aliye mwema Leo hii huwezi kujua umeepushwa na nini sana sana utajilaumu tu na kujihesabia makosa ili tu uendelee kuumia.

Kumbuka ni vigumu sana kumwambia mtu mapungufu yake kwani walio wengi hawako tayari kuyakubali so usilaumu kwanini hawakuambii sababu ya kukuacha huenda ungeambiwa usingekubali/hautakubali. Jaribu kujichunguza je unapokwazika huwa unabehave vipi au una argue namna gani ie kuna mengi ya kuangalia ukiona uko poa basi msubiri Mungu atakupa kwa wakati.
Very well said Da Mkubwa.
 
Bidada, you are better than this. Inatosha kusononeka, na next time make yourself rare ili afanye kazi ya kukumaintain.
Hizi 'l am nothing without you' au matendo yanayoashiria hivyo huwacost sana mabinti. Make him feel like he cant live without you.

Am afraid the interpretation of that last sentence ndiyo huwa-cost wadada wengi!

I'd prefer being real...b'se at the end of the day you will be happy you loved and they will be sad they lost you!
 
Am afraid the interpretation of that last sentence ndiyo huwa-cost wadada wengi!

I'd prefer being real...b'se at the end of the day you will be happy you loved and they will be sad they lost you!

I second u kabisaa. When am in love, napenda for real. Na sitoogopa kukuonesha jinsi navyokupenda eti kisa uta- take advantage of me. Ntakupenda kadri ya moyo wangu utakavyokupenda so ht ukija ukanizingua, ipo siku utanikumbuka tu, kuwa daah kuna mtu alishawahi kunipenda for real but ndo nilichezea bahati.

Honestly najisikia raha sana, pale ex boy wangu anaponitafuta begging me for a second chance. Huwa nashukuru Mungu that at last ameona thamani ya upendo wangu. Too bad for him, nikimove on huwa siangalii nyuma kamwe.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
believe theriz someone better for u usikate tamaa thats how life goes na utampata mwingine utasahau machungu yooote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom