playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,661
- 1,581
Naona uneandika essay mkuu..tatizo mashabiki wa kiba ndugu nyie jaribuni kumshauri sio kumsifia tuu hii nyimbo alitakiwa ndio anayamiliki yeye sio yeye kushirikishwa yeye hapo mtamsifia tu lakini ukweli ukija kwenye nyimbo zake mwenyewe mbona hawi creative to that extent...msikae mumshindanishe na domo,domo yeye ni business oriented yeye ana deal na market ali kiba hayupo huko.......msikae mumshindanishe na domo mnapoteza muda tuuu