playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,661
- 1,581
Kizuri chajiuza....Wimbo wa saut sol na Ali kiba ndani ya radio ya uswiss
Kizuri chajiuza....Wimbo wa saut sol na Ali kiba ndani ya radio ya uswiss
Naucheza now hahahaaaadaah huu wimbo sichoki kuusikiliza
Sana kaka mjomba kakaza vya kutoshaMimi sio shabiki mkubwa wa kiba, ila ni mpenda mziki mzuri. Binafsi hii unconditionally bae nimeipenda kinoma, na lazima niseme ukweli kua kiba kainogesha sana. Jamaa mziki anaujua. heshima nyingi kwake. And I belieeeeeeve yeyote anaejua mziki atakubaliana nami
Huo ndo ukweli mkuuSana kaka mjomba kakaza vya kutosha
Kuna jamaa humu alikuwa anasema hakuna kitu kiba kafanya humo mzeeHuo ndo ukweli mkuu
Ahlan Wasahlan brothers and sisters!
Imagine anasema "jina langu Ali Sasa lazima Nile" Sasa hii maana Yake Nini? Alikosa Kabisa cha kuandika hapo?
Hivyo Kwa maoni yangu Ni kwamba Alikiba KAHARIBU wimbo wa watu, Hebu piga picha ule wimbo wangeimba wenyewe tu Sauti Sol, ungependeza sana!
Analeta ushabiki maandazi. Nimejibu comment yake mda sio mrefuKuna jamaa humu alikuwa anasema hakuna kitu kiba kafanya humo mzee
Huyo huyo ndo alikuwa anapinga nashukuru umempata hahahahaaaaaSasa ambacho hujaelewa kwenye huo mstari ni kitu gani? Hapo ni fasihi imetumika.
Anasema jina lake ni ali, ila huyo demu anaetaka kuishi nae ndo kama chakula hivyo hana budi kula tu (ingawa jina lake ni ali), maana asipokula atakakonda mazima.
Sasa ambacho hujaelewa hapo ni nini? Acha ushabiki maandazi. Mtu akifanya vizuri ni vyema kumpa sifa anayostahili
Kuna watu hata wakimkuta Alikiba anapiga mswaki watasema anapiga mswaki VIBAYA hahahahaaaAnaleta ushabiki maandazi. Nimejibu comment yake mda sio mrefu
Huyo huyo ndo alikuwa anapinga nashukuru umempata hahahahaaaaa
nilishaiona comment yakeTuhukumu kwa haki aysee watu wanaponda kiiiila kitu![]()
![]()
nilishaiona comment yake
HahahahahaaaKuna watu hata wakimkuta Alikiba anapiga mswaki watasema anapiga mswaki VIBAYA hahahahaaa

video si hiyo hapo juu blaza. bofya linkulikunywa gongo kias gn jana