Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Sautisol ft. Ali Kiba - Unconditionally Bae

Hata mimi nimekumiss sana..ucheki tu. King hajatuangusha kabisaaa!
Ndo nimetoka kuangalia hapa. Nawe enjoy Nifah
Kideo cha ukweli sana,na King Kiba kapendeza mnoo.
Hasa pale kwenye shati na kipensi cha blue katisha sana.
Naona sasa hivi video 2 in 1 kama ya Rihanna Work ft Drake ndio habari ya mujini.
Halafu lile dance sio la kitoto,la kibaba heshima kwao...
Kiba nae siku hizi anacheza?Video yote nimemuangalia yeye tu!
 
Kideo cha ukweli sana,na King Kiba kapendeza mnoo.
Hasa pale kwenye shati na kipensi cha blue katisha sana.
Naona sasa hivi video 2 in 1 kama ya Rihanna Work ft Drake ndio habari ya mujini.
Halafu lile dance sio la kitoto,la kibaba heshima kwao...
Kiba nae siku hizi anacheza?Video yote nimemuangalia yeye tu!
my dia nimekonect hapa nyumba inatetemeka dah
 
Wimbo hauna beat kama wa mchakamchaka.

I am a Kiba fan, I know he probably did not have much of a say in the production, but when you put your name to a song, you put your name to a song.
 
ndugu zangu kiukwel mwanzoni kiba nilikuwa simkubalii kabisaa..ila baadaa ya kuona kibao cha unconditionary dhahiri kibaa muda si mrefuu atamuweka chini diamond..shikamoo alikibaaaa
 
Wimbo hauna beat kama wa mchakamchaka.

I am a Kiba fan, I know he probably did not have much of a say in the production, but when you put your name to a song, you put your name to a song.
Thanks
 
ndugu zangu kiukwel mwanzoni kiba nilikuwa simkubalii kabisaa..ila baadaa ya kuona kibao cha unconditionary dhahiri kibaa muda si mrefuu atamuweka chini diamond..shikamoo alikibaaaa
Kwani umemkubali kisa atamuangusha diamond au? kiba ana sauti nzuri ila tatizo lake ni kwamba kwenye videos haweki vile vitu watu wanatarajia. Akiweza kiweka mbwembwe za kistaa basi tz soko ni lake
 
Kwani umemkubali kisa atamuangusha diamond au? kiba ana sauti nzuri ila tatizo lake ni kwamba kwenye videos haweki vile vitu watu wanatarajia. Akiweza kiweka mbwembwe za kistaa basi tz soko ni lake
ndo kesha anza hivyooo..daahhh kastail ka kuchezaa hatareee sanaaaa
 
Siajawahi kuona nyimbo mbovu kama hii..kwanza kiba kaonekana mparakujenda..hajui kuvaa..mshamba..limbukeni..iga mfano wa jirani yako baba tee
 
Isee hii ni bonge la collabo, Kiba kaua, Sauti sol wameua.
Kuanzia audio mpaka video hasa ile ya dance zipo poa sana!
 
Mimi zile sauti za juu alizoimba King Kiba mle ndani zimenikumbusha mbali sana kusema kweli.
Sauti zile sauti ndio zinaitwa Lupela, ni sauti nzuri isiyokuwa na zaidi yake. Sauti ya kikomo.
Hatari sana King, kaingia na kutoka utamu sana. Na Sauti Sol waliacha njia utamu sana ya King kuingia na alipotoka wakapokea.
Ule ni wimbo aiseeh!

Ova
 
Wimbo sio mzuri kiukweli kama tumeamua kuwa honest. Siuoni ukifanya vizuri.

Kingine sijaelewa ni kwa nini Kiba kaipotezea hii ngoma ajaangaika ata kutoa taarifa kwa fans wake popote pale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom